Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC: Watanzania hawataki mtu atakayeuza madini yao kwa wageni nje

Huyu ndiye mkurugenzi anayesema haya?[emoji16] mbona mawazo yake yanafanana na ya Boss?
View attachment 1583301

Liangalie vile....ka zezeta fulani hivi!!!
Wana saikolojia wanasema ikikutacMijitu inapoongea na mtu yeyote ikiwemo bosi HUKU MIKONO IMESHIKILIA KUNAKO SEHEMU NYETI(Down stairs) UJUE Hakuna kitu KICHWANI(upstairs)....!!!
 
Huyo mkurugenzi anaropoka tu kama kawekewa la kati,lissu sio size yake na hana muda na tume ambayo imejaza makada wa ccm...ajibu majaliwa anafanya kampeni kila mkoa kama nani?
 
Tunaposema Lissu ni hatari ndio muelewe. Mkurugenzi wa uchaguzi kachanganyikiwa na kuanza kunadi sera kama kichaa. Sasa kama kibaraka hofu yake ni dhahiri namna hii ‘bosi’ wake ana hali gani?

Hii sio aibu, ni fedheha!
Huyo ndio msemaji wa ccm,yani wamedata nzi wa kijani
 
Vyote kwa pamoja vinapiganwa tulia.
Tume aipigi kura mfupa uliomshinda Lowasa kwa Lisu ni bua.
 
Tunaposema Lissu ni hatari ndio muelewe. Mkurugenzi wa uchaguzi kachanganyikiwa na kuanza kunadi sera kama kichaa. Sasa kama kibaraka hofu yake ni dhahiri namna hii ‘bosi’ wake ana hali gani?
Hii sio aibu, ni fedheha!
Ndio maana kila siku tunatukanwa na hivi vi PhD vyetu, yaani baada ya kusota miaka 3 na zaidi mtu ukiona tonge unapoteza heshima yako. Nani kamwambia watatnzania wanataka nini na hawataki nini? Tume inatakiwa iwe neutral iangalie sheria zinafuatwa FULLSTOP. Sasa hapa analianzisha na Lissu halafu atasema ametukanwa.
 
Tunaposema Lissu ni hatari ndio muelewe. Mkurugenzi wa uchaguzi kachanganyikiwa na kuanza kunadi sera kama kichaa. Sasa kama kibaraka hofu yake ni dhahiri namna hii ‘bosi’ wake ana hali gani?

Hii sio aibu, ni fedheha!
Anafanya kazi ya polepole Duh wame changanyiwa kweli kweli ole wao waibe kura wahuni kweli hawa!
 
Kaongeza maneno binafsi definitely tamko lake kwa lissu linapoteza maana.
Kwa lugha nyepesi kaonesha ushabiki badala ya ku-excute JD yake
 
Amesema wapi kuwa anataka kuweka Ardhi rehani? Ndio mlivyoshikwa akili na makalio hadi NEC kujichanganya kiasi hiki.
AIBU!
Mwanzo hadi mwisho naona CCM wanamlisha Lissu maneno. Hawa ndio wale wanafunzi anasoma swali halielewi halafu anatunga la kwake na kulijibu. Akifeli analia kama hana akili.
 
Mahera hofu ya nn jamaa yake si atamuajiri kwenye hotel zake Chato hata hio tume kandamizi itapovumuliwa.
 
Kwa tume hii alafu lisu anadai atashinda kweupe afadhali tume mmemuonesha hamna undugu na upinzani
 
Huyu mkurugezi ni utopolo tu.Huyo rais atatetea madini ya watanzania dhidi ya nani,atuambie kwanza hilo? Hivi huyu ni kabila gani hasa?
 
Kama kweli mkurugenzi wa tume kaongea hivyo, naona anapigia debe upande mmoja.
Tume ya uchaguzi ni muhimu iwe huru na isiegemee upande wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…