Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Msumbiji(SISE) Bernardo Lidimba afariki kwa ajali ya gari

Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Msumbiji(SISE) Bernardo Lidimba afariki kwa ajali ya gari

Eliminated?

Watawala wakubwa wanakutuma katika kazi chafu za kuchafua uchaguzi, halafu wakiona unaweza kuwa shahidi dhidi yao Mahakama ya Upeo au The Hague ICC Uholanzi, basi waliokutuma hawasiti kukuondoa kwa kukupa ubalozi, kifungo au hata kukunyima uhai wa kuishi.
 
BodaBoda shida! Gari nayo imekuwa shida! Ngoja tujaribu Kibajaji, You Know.. 😁
 
Ni muda kwa watawala wa bara hili hasa kusini mwa Sahara desert,kutambua kuwa madaraka ni sehemu ndogo katika maisha na sio maisha yenyewe.Nchi kama ya Botswana imefanya uchaguzi wa kistaarabu kabisa na kufanya power transition bila shida yoyote.

Jinsi matendo yetu watu weusi yanavyo kuwa ya kipumbavu ndivyo watu weusi wanatuona si binadamu tulio kamili.

Shame on us
 
Back
Top Bottom