Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanunue managementSerikali ikae mbali na biashara waachieni watu binafsi waendeshe haya mashirika na hiyo miundo mbinu
Wasalimie RufijiUongo
Katerero wanakusalimia.Wasalimie Rufiji
Hivi vitu hua vikiharibika tunajiuziaga wenyewe kisha tunasubiri mchakato wa kununua vingine vipya. TV ya Uwanja mkubwa kama wa JKNA haiwezi kua inaungwa ungwa na waya sijui kwa fundi nani.Aaah mkurugenzi umeua,palilia basi kibarua hata tv tu za matangazo unang'oa kwani mafungu hayaji.Mbona una vitega uchumi vingi tu parking,mabango ya matangazo,kodi za frem za maduka,nk.
Pili huduma zote zile pale kuanzia choo,wifi, haki ya matangazo,nk si abiria analipa kupitia makato ya nauli yake,so uoni huo ni wizi.
Au tegemeo lako ni yule karumanzila. Timiza wajibu wako ukuwekwa hapo kuuza sura.
Wewe ndiye unayeshangaza kama huoni uhusiano wa aliyoyaandika na CCM. Hebu piga akili kidogo, utaona uhusiano uliopo. Tena upo wazi kabisa.Huku ni kuhamisha magoli, sioni mantiki ya uingizaji wa ccm hapa kwenye mada ya msingi kama hii. Mtoa mada ameeleza kwa ufasaha kabisa. Watanzania tuna shida vichwani mwetu sio bure.