Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Hicho ni kikundi cha vijana wa chato wanaishi kwa shughuli hiiNimefanya kazi na ccm lakini sijawahi kutana na wanachama wasiokuwa na staha wala weledi kama wanaccm wa jf, kutukana hakukufanyi ueleweke kunakufanya uonekane usiye na maana hata wakati mwingine ukiandika cha maana wakiona jina lako wanajua ni pumba tuu zimejaa, jitahidi uutumie utu uzima wako na uhuru wako kwa hekima na sio matusi.
ha ha ha ha haKuna siku tutagawana majengo ya serikali
Labda Kushinda Njaa!!Tutawaonyesha bila huruma kwamba JPM atashinda kwa 100%
Hicho ni kikundi cha vijana wa chato wanaishi kwa shughuli hii
Kama tajiri anaweza kufa kwa umasikini basi hii itakuwa ajabu !Ww jamaa mirija inakata mwaka huu nenda kalime nyanya achana na ujanja ujanja wa kutumiwa utakufa maskini
Sijui tumefikaje hapa... Sio sijui kwa maana sioni yaliyotufikisha hapa ila nashangaa kwanini tumeruhusu kufikia hapaKiukweli mwaka huu wakurugenzi lazima tuondoke Roho zenu aisee..ukitangaza tofauti siye tunadeal na ww Kama ww au ndg yko yyte wa damu bc...maana mtakuwa na ulinzi hvyo kuwagusa itakuwa ngumu...mtu Kama Kamoga mnaenda kwao Tanga mnamalizana na ndg zake ka wawili hv bc heshima inarudi mkiwa mna maumivu ya kumkosa mbunge lkn na yy ya kumzika mama au mdogo wake...huo ndo mpango mzima tripu hii