Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Hicho ni kikundi cha vijana wa chato wanaishi kwa shughuli hiiNimefanya kazi na ccm lakini sijawahi kutana na wanachama wasiokuwa na staha wala weledi kama wanaccm wa jf, kutukana hakukufanyi ueleweke kunakufanya uonekane usiye na maana hata wakati mwingine ukiandika cha maana wakiona jina lako wanajua ni pumba tuu zimejaa, jitahidi uutumie utu uzima wako na uhuru wako kwa hekima na sio matusi.