Mkurugenzi Wilaya ya Chamwino acha tabia ya kuwapiga Watumishi wa chini yako!

Mkurugenzi Wilaya ya Chamwino acha tabia ya kuwapiga Watumishi wa chini yako!

Kufa c mwiko

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
752
Reaction score
320
Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo

Je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati?

Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda

jirekebishe.
 
Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.
Kwanini ukubali kupigwa????. Huo ni Ujinga wa hali ya Juu sana
 
Pole kwa kipigo,,, kama wewe ni ' Me ' siku nyingine usikubali kupigwa pigana.
 
Kwa mwandiko uhu, kweri wacha hawanyooshe, 😅hawapige mala Kwa mala!
Huko Dodoma kuna nini?? Ayubu alimtandika mtu
 
Hapa ndio utaelewa kwa nini watoto wa Kikurya hufundishwa kupigana na kujihami tangu wangali wadogo siyo kama hiyo boya inapigwa halafu inakimbilia kwenye kibodi. Ulitakiwa uwe umeshatoa meno ya mtu hapa kabla ya kuandika uzi
 
Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.

Acha mpigwe tuu hivi mtu mzima unakubali vipi kupigwa hahahsha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa mwandiko uhu, kweri wacha hawanyooshe, 😅hawapige mala Kwa mala!
Huko Dodoma kuna nini?? Ayubu alimtandika mtu
Huu wako ndio mwandiko Bora siyo? Nyani anatakiwa awe na kioo ili alione kundu lake kwani teknolojia imekua! Pathetic!
 
Huu wako ndio mwandiko Bora siyo? Nyani anatakiwa awe na kioo ili alione kundu lake kwani teknolojia imekua! Pathetic!
Mwenzako kaweka utani kidogo kumuigiza jamaa. Jiongeze basi upate maantiki,usishupaze shingo bure [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom