Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
- Thread starter
- #21
Mimi nimehabarisha tu sasa ningevunjwa kiuno angekuhabarisha mama YAkO?Kama mtumishi mwenyewe ndiyo wewe basi ni bora angekuvunja kiuno kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimehabarisha tu sasa ningevunjwa kiuno angekuhabarisha mama YAkO?Kama mtumishi mwenyewe ndiyo wewe basi ni bora angekuvunja kiuno kabisa
Kupiga ni kosa la kukufukuzisha kaziHii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.
Wewe ni mwanaume halisi. Ajira ni nzuri ndugu watumishi lakini isitweze utu wako. Unapigwaje kisha ajira? Na watoto nyumbani mkeo wanapata taarifa baba kapigwa makofi na afisa elimu sijui DC au DED umerogwa?Boss anakupigaje aise na wewe unamtazama tu mimi siku akidhubutu kunyanyua mkono ndio itakuwa mwisho wa Kibarua Changu, lazima tugawane majengo ya Serikali apo
Halmashaur Ina mwanasheria waliofanyiwa hivyo waonane nae wapate ushauri. Ama wamuone Mh DCKwanini ukubali kupigwa????. Huo ni Ujinga wa hali ya Juu sana
Uandishi wako ndio ungefaa kabisa kupewa tuzo ya uandishi mbovu wa mwezi kama sio mwaka.Kwa mwandiko uhu, kweri wacha hawanyooshe, 😅hawapige mala Kwa mala!
Huko Dodoma kuna nini?? Ayubu alimtandika mtu
Post kwenye instagram huko kuna wakubwa wengi snHii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.
Watu nchii hii damu ya upigaji imeota mizizi mi swali langu la msingi ni kwanini vifaa vyote vya ujenzi vinunuliwe na halmashauri kwani huko vijijini hakuna kamati za ujenzi nafkiri ilikuwa ni mwanya wakupiga pamoja na onyo la mama samia watu wameweka pamba masikioni.Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.
DC hawezi kufanya chochote DED, bora apost kwenye instagram wakubwa wengi waone au UmmyHalmashaur Ina mwanasheria waliofanyiwa hivyo waonane nae wapate ushauri. Ama wamuone Mh DC
Hatari kama taifaWatu nchii hii damu ya upigaji imeota mizizi mi swali langu la msingi ni kwanini vifaa vyote vya ujenzi vinunuliwe na halmashauri kwani huko vijijini hakuna kamati za ujenzi nafkiri ilikuwa ni mwanya wakupiga pamoja na onyo la mama samia watu wameweka pamba masikioni.
I Like This.Boss anakupigaje aise na wewe unamtazama tu mimi siku akidhubutu kunyanyua mkono ndio itakuwa mwisho wa Kibarua Changu, lazima tugawane majengo ya Serikali apo
Huyu mkurugenzi anatafuta dozi ya ndugai ilipo.Hatari kama taifa
Ndiyo hivyoHuyu mkurugenzi anatafuta dozi ya ndugai ilipo.
Sasa si angempiga pumbuh tu au angempima oil hapo hapo hadharani tu.Nafikiri wanamuhurumia sababu ni mwanamama.
HACHA!Kama mtumishi mwenyewe ndiyo wewe basi ni bora angekuvunja kiuno kabisa
Jf ndiyo inavipenyo wa kutosha!!Post kwenye instagram huko kuna wakubwa wengi sn
Angemcheki ummy direct SasaDC hawezi kufanya chochote DED, bora apost kwenye instagram wakubwa wengi waone au Ummy