Mkurugenzi Wilaya ya Chamwino acha tabia ya kuwapiga Watumishi wa chini yako!

Mkurugenzi Wilaya ya Chamwino acha tabia ya kuwapiga Watumishi wa chini yako!

Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.
Kupiga ni kosa la kukufukuzisha kazi
 
Boss anakupigaje aise na wewe unamtazama tu mimi siku akidhubutu kunyanyua mkono ndio itakuwa mwisho wa Kibarua Changu, lazima tugawane majengo ya Serikali apo
Wewe ni mwanaume halisi. Ajira ni nzuri ndugu watumishi lakini isitweze utu wako. Unapigwaje kisha ajira? Na watoto nyumbani mkeo wanapata taarifa baba kapigwa makofi na afisa elimu sijui DC au DED umerogwa?
 
Kwa mwandiko uhu, kweri wacha hawanyooshe, 😅hawapige mala Kwa mala!
Huko Dodoma kuna nini?? Ayubu alimtandika mtu
Uandishi wako ndio ungefaa kabisa kupewa tuzo ya uandishi mbovu wa mwezi kama sio mwaka.
 
Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.
Post kwenye instagram huko kuna wakubwa wengi sn
 
Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo je umewahi kujiuliza ni kwanini mliona umuhimu wa kununua wenyewe vifaa vya ujenzi vya shule zoote mkavirundike ofisi ya halmashauri lengo lenu ilikuwa nini je mlitegemea kwa kufanya hivyo huo ujenzi ungeisha kwa wakati? Sasa mmepaniki na DEO wako wa shule ya msingi unawapiga hovyo WATUMISHi mh rais alitaka maendeleo kwa wananchi wake hajakutuma kuwanyanyasa wananchi wake mbaya zaidi huyo afisa elimu msingi nae anawatisha kuwanyima posho viongozi ambao hawajakamilisha miladi hamkutumwa na mamlaka kufanya hivyo bado una muda jirekebishe.
Watu nchii hii damu ya upigaji imeota mizizi mi swali langu la msingi ni kwanini vifaa vyote vya ujenzi vinunuliwe na halmashauri kwani huko vijijini hakuna kamati za ujenzi nafkiri ilikuwa ni mwanya wakupiga pamoja na onyo la mama samia watu wameweka pamba masikioni.
 
Watu nchii hii damu ya upigaji imeota mizizi mi swali langu la msingi ni kwanini vifaa vyote vya ujenzi vinunuliwe na halmashauri kwani huko vijijini hakuna kamati za ujenzi nafkiri ilikuwa ni mwanya wakupiga pamoja na onyo la mama samia watu wameweka pamba masikioni.
Hatari kama taifa
 
Boss anakupigaje aise na wewe unamtazama tu mimi siku akidhubutu kunyanyua mkono ndio itakuwa mwisho wa Kibarua Changu, lazima tugawane majengo ya Serikali apo
I Like This.
 
Huyo boss itatokea siku kwenye piga piga yake
Atakutana na chizi !

Ova
 
Mtumishi anayepigiwa naye ni mpumbavu.

Mimi naahidi mbele ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa
Sitakubali kupigwa na kiongozi yeyote yule.
 
Back
Top Bottom