Mkurugenzi Wilaya ya Chamwino acha tabia ya kuwapiga Watumishi wa chini yako!

Na michezo hii inafanywa geti la ikulu lipo mita chache wanataka kuijua rangi ya mama!!
Kwa kilchomkuta mzee wa kongwa wajichunge walikuwa wanamchukulia pw mama samia
 
😀😀😀
Nafikiri wanamuhurumia sababu ni mwanamama.
Hapana ni dume tena ngosha
 
Watu wengine wajinga ,kwamba mkurugenzi anakupiga why nawe usimzabe, Kama ni baunsa tumia hata jiwe, vinginevyo kaa kimia
 
Kusimamishwa kazi kwa sababu ya utovu wa nidhamu mnakimbilia mitandaoni ulitakiwa kuomba radhi kwa bosi wko kazi iendelee
 
Hawa vijana washazoea posho sasa wametolewa kweny ukuu wa shule sasa wanatapa tapa
Nafikiri mleta mada alitaka kuhoji ni sahihi boss kumshambulia mtu wa chini yake akikosea? Kwa maana shambulio ni jinai wewe ndiye unae waza posho na sababu kubwa unajipendekeza kwa huyo boss(chawa)
 
Hii ni mala ya pili jana kumdunda mtumishi hapa kijiji cha manchali,wiki chache zilizopita ulimfanyia hivyo mwalimu mkuu wa shule ya msingi chinangali 2 hukuridhika ukamshusha na cheo
Hivi mnapigwa mnakubali nyie hamjui kupigana? nyie ktk halmashauri hiyo ni mandezi kwelikweli!
 
Mkurugenzi umekuja kujitetea sio? Siku ulikutana na Mimi naning'inia kwenye kenge

Mkurugenzi umekuja kujitetea sio? Siku ulikutana na Mimi naning'inia kwenye kengele hizo😂
Nilivyoelewa mimi kutoka kwa mleta mada ni kuwa kunaupigaji kwenye fedha ya uvico vifaa vya ujenzi vya maeneo yote vilinunuliwa na halmashauri na kujazana pale ofisin kwa lengo la kupiga wakasahau kwamba ujenzi unatakiwa uishe kwa wakati sasa shule zinakaribia kufunguliwa majengo bado wamevurugwa kwahiyo hiyo comment ni ya mnufaika wa upigaji.
 
Mpigwe tu , baadhi ya watanzania wavivu mno na hampo serious
 
Ninacho shangaa haya huwa yanafanyika nanusalama wa taifa hawafikishi taarisha kwa mteuzi
 
Rudia kumsoma tena, wanadundwa...Ila Mimi mume wangu akirudi eti kadundwa na mkurugenzi, bora tu nirudi kwetu nijue sina mume....Mwanaume unapigwaje?
 
Hapa ndio utaelewa kwa nini watoto wa Kikurya hufundishwa kupigana na kujihami tangu wangali wadogo siyo kama hiyo boya inapigwa halafu inakimbilia kwenye kibodi. Ulitakiwa uwe umeshatoa meno ya mtu hapa kabla ya kuandika uzi
Kumbuka waliopigwa sio wagogo ila mgogo ndo kapiga watumishi 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakubalije kupigwa aisee nyie ndio wale waoga, Sasa ushapigwa nenda kamloge atumbuliwe huyo mshen.zi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…