Hii ni kauli mbiu nzito. Tunaomba tume ya uchaguzi kote nchini pamoja na vyombo vya dola kote nchini kutenda haki. Hata hivyo kwa jinsi serikali tukufu ya Magufuli ilivyotekeleza vizuri ilani ya CCM 2015, hakuna haja ya kuwa na hofu.
Uchaguzi ni hesabu
Wajumbe oyeee
Uchaguzi ni hesabu
Wajumbe oyeee