Mkutano maalum wa kidunia wa masuala ya Usalama waanza leo mjini Munich. Je,Tanzania imepeleka mwakilishi?

Intelligence nayo inaonekana ya kikaaada

Kila kukicha full uharo



Sijui wanajisikiaje au hawajielewi kupoteza dhamani ya malengo yao

Sent using Jamii Forums mobile app
@mistari4G ndugu yangu hawa jamaa wa usalama ndo Cmm wanaitwa Green Guard halafu walivyo matahira eti watu tunawajua kabsa halafu sasa hivi usalama wa taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@mistari4G ndugu yangu hawa jamaa wa usalama ndo Cmm wanaitwa Green Guard halafu walivyo matahira eti watu tunawajua kabsa halafu sasa hivi usalama wa taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaa tupite kwenye miba
Mtetezi cjui yu wapi


Wengi pumba sana na hzo kujifanya wana mafunzo maalum kumbe wengine walichaguliwa kwa umbea tuu


Ethics hazipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa vipi mkuu?
Kuna best yangu ni wale die hard wa uvccm na pia ni kiongozi hapa Dar es Salaam alinipa secrets kuwa Most of today's intelligence wanatoka Ccm Green Guards pia hata wanaomaliza chuo wanachukuliwa kupewa pumba na push ups chache then wanaanza kazi.
Hakuna tena ile intelligence kama ya mwanzo kaka

Sent using Infinix hot 4
 
Wakaushie tuendelee kuona sarakasi
Maisha yana mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inteligensia yetu inakuwa imara siku hadi siku kwa kila Nyanja.

Si ile unaoifikiria.

Hii huitaji uchambuzi na ufatiliaji makini ndo tunaona.
Ila kumbuka imeshindwa kufanya The intended functions for the benefits of the nations. Sasa ni for the benefits of Yohana

Sent using Infinix hot 4
 
Hahaha naona umeamua kuwa Paskali mkuu nasoma halafu between the lines naona kitu kingine kabisa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 

πŸ™‚πŸ™‚

Haya mkuu we muamini huyo uvccm, ila hakuna kitu kama hicho kabisa kwa sasa.

Hivi wafahamu hata hapahapa JF waweza kufanyiwa assessment kuona kama wafaa au la?

Yaani Inasemwa kwamba hata methods za kufanya recruitment zmeboreshwa sana.

Shukran kwa misaada ya nchi wahisani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…