Tetesi: Mkutano mkuu CCM tarehe 7.7.2016; Mangula kuwa katibu mkuu, Bulembo naibu katibu mkuu

Tetesi: Mkutano mkuu CCM tarehe 7.7.2016; Mangula kuwa katibu mkuu, Bulembo naibu katibu mkuu

Status
Not open for further replies.
Hivi Bashe si uje CHADEMA tu jamani?
Huko hakukufai kaka.
images-9.jpeg


swissme
 
Vigezo wanavyo wengi,kutia akili mfukoni,kulopoka,la saba kumcontrol proffessor,hapo watachuana kibajaji,mfuasi wa diamond na yule alietoa kanusho kuhusiana na Gwajima
 
ngoja watoe mamluki ccm sasa yaan ndumila kuwili walikuwa wengi sana unajuaa had walitaka kuuza chama toa wote .....bora wabak wanachama wAtiifu kwa itikad sio maslah
Ndumila kuwili elekea chagadema yaani haya ndo mabadiliko raha sana starehe
 
Hahah bashe huyu huyu, hata kwa dawa hawawezi kumpa
 
Ukiwa ni mkakati wa kuisuka CCM, Comrade Mangula atapewa nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho ili amsaidie Rais kukisuka chama. Pamoja na Mangula mwingine ni Abdallah Bulembo ambaye anategemewa kupewa nafasi ya naibu katibu Mkuu Bara.. Ikumbukwe Bulembo ni confident man wa Rais kwa sasa...

Pamoja na hilo, Mwenyekiti mpya, atatumia fursa hiyo kufumua kamati kuu yote kwa kuwaondoa wajumbe wake wote, na kuja na majina mapya ambao wengi sio wanasiasa bali ni wasomi wa nchi hii... Hii itaendana na mwenyekiti mpya kufumua sekretariate na kuunda mpya...

Kwa nafasi ya uenezi wa chama majina matatu yanatajwa tajwa... 1. Bashe 2. Lusinde 3. Ole Sendeka

Usiumize kichwa na tetesi, utashitakiwa kwa uchochezi, subiri taarifa baada ya CC kesho!
 
LUSINDE unayemtaja ni huyu kibajaji au mwingine? nisaidie tafadhali sana
 
Lusinde...? Bulembo ❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌✂ Hell no... Bulembo nae sio kabisa.. hafai, hana UELEWA KABISA...!! CCM inahitaji watu makini na waelewa sio waongo waongo na wasiowatendaji kama Bulembo au Lusinde... Mh. Rais lazima awe makini na watu wa kuongoza CCM kwa sasa... Bashe, Mangula, Mwigulu, Makonda, Lukuvi, Kagasheki, hawa wana UWEZO mkubwa wa kuiongoza CCM ya hapa KAZI TU na CCM kusimama imara kabisa, ila sio akina OLE SENDEKA, LUSINDE, MAJI MAREFU, BULEMBO...haw hapana kabisa..
 
Ukiwa ni mkakati wa kuisuka CCM, Comrade Mangula atapewa nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho ili amsaidie Rais kukisuka chama. Pamoja na Mangula mwingine ni Abdallah Bulembo ambaye anategemewa kupewa nafasi ya naibu katibu Mkuu Bara.. Ikumbukwe Bulembo ni confident man wa Rais kwa sasa...

Pamoja na hilo, Mwenyekiti mpya, atatumia fursa hiyo kufumua kamati kuu yote kwa kuwaondoa wajumbe wake wote, na kuja na majina mapya ambao wengi sio wanasiasa bali ni wasomi wa nchi hii... Hii itaendana na mwenyekiti mpya kufumua sekretariate na kuunda mpya...

Kwa nafasi ya uenezi wa chama majina matatu yanatajwa tajwa... 1. Bashe 2. Lusinde 3. Ole Sendeka

Hapo kwa Bulembo labda ni kwa ajili ya shukrani tu, lakini hana sifa.
 
Bashe hana nafasi ndani ya CCM. Mangula hawezi kuwa Katibu Mkuu wa CCM labda anaweza kubaki kwenye nafasi aliyonayo sasa. Bulembo anaweza kuwa na nafasi kubwa zaidi CCM. Ole Sendeka anaweza kuwa Mwenezi. Ila chama ndo kinaamua. Hizi ni hisia tu. CCM haifanyi mambo yake gizani. Kila kitu kitakuwa hadharani
Si huwa mna kejeli elimu ya Mbowe sasa hao Lusinde na Ole sendeka wana elimu gani?
 
Hii nafasi achukue BASHE mwisho wa mchezo siasa ya CCM kidogo itakua graduated
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom