Walioko huko uko huenda ni wasomi kabisa na uwezo wao wameshindwa kabisa kuunga mkono sauti za watz wenzao ambao kila kukicha sasa WANAPIGANIA HAKI/USAWA/URARI/HAKI ZA BINADAMU NA wanapigia kelele ufisadi; dhuluma (north mara ni mfano mdogo kabisa); watu hawapati mlo hata mmoja kwa sababu hawajatenengenezewa mazingira kweli na elimu zenu mnaamua kupanga njama zaidi kulihujumu taifa letu; kweli baniani mbaya; mbona elite wengine wako tofauti angalia elite wa iran wanavyopigania mageuzi; ni aibu waosmi wa tanzania ni aibu eti alama ya jembe na nyundo kweli; kwa hiyo madini yetu; mazingira yetu (yanayoharibiwa nakuaa watu sasa); rasilimali zetu zinazoibwa ndio; richmond; kagoda; iptl; buzwagi ( au ndio wawezeshaji?) nk ndio jembe ne nyundo; ni mali zetu na watoto wetu hizo sio zenu; ipo siku zitarudi; JAMANI RUDINI HUKU SASA MTUSAIDIE WAKULIMA MIAKA 50 KARIBU SASA TUNADANNGANYWA NA CCM; BADALA YAKE TUNAPIGA MACKTIME NYUMA. TUOKOENI JAMANI NIKO KIJIJINI HUKU WATUENDI POIPOTE AU KWA KUWA MMEWEZESHWA