Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wakati wenu wa kuringa, iko siku mbwembwe hizi hatutaziona. Hivi CHADEMA au CUF wakifungua matawi nje ya nchi si mtawaita wahaini.
waliokuwepo huko ni wendawazimu kuliko walio TZ na ukiwapa nafasi wanatoweka na kila kitu ni yao hasa ni kupata nafasi ya kuja kufuja mali TZWalioko huko uko huenda ni wasomi kabisa na uwezo wao wameshindwa kabisa kuunga mkono sauti za watz wenzao ambao kila kukicha sasa WANAPIGANIA HAKI/USAWA/URARI/HAKI ZA BINADAMU NA wanapigia kelele ufisadi; dhuluma (north mara ni mfano mdogo kabisa); watu hawapati mlo hata mmoja kwa sababu hawajatenengenezewa mazingira kweli na elimu zenu mnaamua kupanga njama zaidi kulihujumu taifa letu; kweli baniani mbaya; mbona elite wengine wako tofauti angalia elite wa iran wanavyopigania mageuzi; ni aibu waosmi wa tanzania ni aibu eti alama ya jembe na nyundo kweli; kwa hiyo madini yetu; mazingira yetu (yanayoharibiwa nakuaa watu sasa); rasilimali zetu zinazoibwa ndio; richmond; kagoda; iptl; buzwagi ( au ndio wawezeshaji?) nk ndio jembe ne nyundo; ni mali zetu na watoto wetu hizo sio zenu; ipo siku zitarudi; JAMANI RUDINI HUKU SASA MTUSAIDIE WAKULIMA MIAKA 50 KARIBU SASA TUNADANNGANYWA NA CCM; BADALA YAKE TUNAPIGA MACKTIME NYUMA. TUOKOENI JAMANI NIKO KIJIJINI HUKU WATUENDI POIPOTE AU KWA KUWA MMEWEZESHWA