Huna haki ya kuuliza chochote kwani wewe ni "mpenzi " tu wa Simba.Nimefuatilia kwa makini huu mkutano nikiwa kama mpenzi na mshabiki wa Simba nimeamini tunasafari ndefu sana kama nchi katika kila sekta mfano Taarifa ya mapato na Matumizi imesomwa lakini hamna hata mmja aliyeuliza swali..wagombea wote wamesema sera zao hamna ata 1 aliyezungumzia Bil 20 za Muwekezaji..Mo alionyesha Mfano wa Hundi na kusema ametoa na ziko Bank na Kuweka kama Tresury Bond..swali langu kama izo pesa ziko bank je zime mature mara ngap na Interest ya iyo pesa iko wapi? Na ni Bei gn kwa Mwezi Tunalipwa? Mbona hatujaskia katika taarifa ya Mapato na Matumizi juu ya faida ya Iyo pesa kuwekwa Bank?
Kitu ambacho hamjui ni kwamba Manzoki ana mkataba na Simba hata kabla hajaenda China. Dirisha hili dogo waliacha kumsajili kwa kuwa angekaa tu akitibiwa maana ni majeruhi atakayekaa nje kwa miezi kadhaa. Kwa hiyo Manzoki yupo pale akiutumikia mkataba wake, sio kwamba walishindwa kumsajiliKitendo Cha kumleta Manzoki wakati usajili umesha pita ni jambo la fedheha si Kwa Simba tu ila inaonyesha jinsi kama Watanzamia tunavyo fikiri.
Soka sio leleMotivation kwenye kazi yako?
Motivation huja baada ya Mafanikio
ni sawa na kwa nini Feisal analipwa kidogo kuliko Tuisila. Huo ni mkataba, inategemea ulivyokujaIweje MO Xtra awekwe kifuani afu atoe hela ndogo? Kwanini Asiwekwe Begani kama Emirates?
Pengine tuweke hivi,Financial Year ya 2022/2023 inaanzia July 2022 na inaishia June 2023.Je ukiambiwa utoe report ya nusu mwaka ya hiyo Financial year utacover kipindi gani hapo?We jamaa huna akili, ukisikia 2022/23 unahisi nini?
Huyu mwenzetu anahitaji wahasibu waje wamweleweshe vizuri maana ya Financial Year 2022/2023.Inampa tabu kujua kuwa nusu ya hiyo Financial Year itacover July to December ya 2022.sasa huo 2023 umeisha? Ndio mana umeambiwa usubiri report ijayo ndio utajaji. Mbet ameingia simba katikati ya mwaka, so ametoa kulingana na huduma ya mwaka.
Wewe kweli ni "Kazitunayo"Nimefuatilia kwa makini huu mkutano nikiwa kama mpenzi na mshabiki wa Simba nimeamini tunasafari ndefu sana kama nchi katika kila sekta mfano Taarifa ya mapato na Matumizi imesomwa lakini hamna hata mmja aliyeuliza swali..wagombea wote wamesema sera zao hamna ata 1 aliyezungumzia Bil 20 za Muwekezaji..Mo alionyesha Mfano wa Hundi na kusema ametoa na ziko Bank na Kuweka kama Tresury Bond..swali langu kama izo pesa ziko bank je zime mature mara ngap na Interest ya iyo pesa iko wapi? Na ni Bei gn kwa Mwezi Tunalipwa? Mbona hatujaskia katika taarifa ya Mapato na Matumizi juu ya faida ya Iyo pesa kuwekwa Bank?
Ana mkataba Ila halipwi siyo?Kitu ambacho hamjui ni kwamba Manzoki ana mkataba na Simba hata kabla hajaenda China. Dirisha hili dogo waliacha kumsajili kwa kuwa angekaa tu akitibiwa maana ni majeruhi atakayekaa nje kwa miezi kadhaa. Kwa hiyo Manzoki yupo pale akiutumikia mkataba wake, sio kwamba walishindwa kumsajili
Santee, maoni yamepokelewaHizi timu zetu zina uongo uongo mwingi.
Simba walitangaza kuwa watapokea 4.5bil kwa mwaka kutoka M-BET kama main sponsor, ajabu kwenye kusoma Mapato ya Mwaka 22/23 M-BET anatoa 2.5bil
Ilitamkwa kuwa Vunjabei kama Main KIT sponsor atatoa 1bil kwa Mwaka ila leo imesomwa kuwa Vunjabei atatoa 750Mil.
A One Bottlers, watengenezaji wa Mo Xtra wanatoa 150mil.
Emirate Aluminium 100
Iweje MO Xtra awekwe kifuani afu atoe hela ndogo?
Kwanini Asiwekwe Begani kama Emirates?
Wachezaji wanalipwa mishahara ila wameandikiwa Bonus ya 800mil, kuwa wanalipwa kila mechi wanayocheza, kuna umuhimu gani wa bonus wakati wachezaji wanajua majukumu yao?
Kwamba kila mechi 20mil
Kuwa Maji ya Kunywa kwa ajili ya Kambi zote ni 150mil
Azam TV wanalipa 2.5bil kwa ajili ya haki za Matangazo
Bodi ya Ligi itawalipa 400mil
Bajeti haijatimia sababu mapato ni machache hivyo MO ameahidi kuwapa 3.9bil
Servicebya gari 26mil
Maswali yangu
1. Kwanini Club iwalipe wachezaji kwa kufanya kazi wanayopaswa ifanya? Kwanini bonus isiwe kwenye kutimiza lengo fulani? Mf Kuchukua Ligi kuu, Bonus iwe 200mil, Kufika Robo Final 300mil, Kufika Nusu 400mil, Kufika Final 500mil, kuchukua Kombe 800mil.
Ukiangalia hapo Club itakuwa yatoa Bonus kwa mafinikio fulani na hata ikitokea Wamechukua kombe bado Club itatumia 1bil kama Bonus
2. Hiyo service ya 26mil ni service gani? Maana bus lafanyiwa service na Mdhamini wa bus.
3. Hayo maji ya zaidi ya 100mil ni maji gani?
4.Kwanini Simba isijenge hostel ili ikwepe kulipa hizo milioni 400 kila mwaka?
5. Allowance ya 100mil kwa wachezaji wanapo safiri, hii ni sawa ila audit yahitajika.
6. Usajili wa 2bil+ Huu usajili ndo huu huu au kuna mwingine?
Na kibaya zaidi ndo ameshinda kuwa mwenyekiti wa klabu kwa kura za MauaniSantee, maoni yamepokelewa
Mzee ile ni bajeti iliyotengwa ya mwaka mzima, kasome tena.Huyu mwenzetu anahitaji wahasibu waje wamweleweshe vizuri maana ya Financial Year 2022/2023.Inampa tabu kujua kuwa nusu ya hiyo Financial Year itacover July to December ya 2022.
Ni Bajeti vs Actual, sasa actual unadhani watareport ya mwaka mzima? Hizo Actual za Jan-June 2023 wanazitoa wapi?Mzee ile ni bajeti iliyotengwa ya mwaka mzima, kasome tena.
Iliwekwa ikionyesha wamebakiwa na 5m kwenye a/cTatizo hawa gongowazi hawajuii hata wanaandika nini?Ukiwauliza wao mapato na matumizi yao toka yule kibaraka wa GSM aingie hawajui.Kazi kukaza shingo na shughuli za Simba.Inferiority complex at its best.
Sijakuelewa hapa boss. Ana mkataba ila hajasajiliwa sababu ni majeruhi. Kuwa na mkataba na simba bila kusajiliwa umemaanisha nn mkuu?Kitu ambacho hamjui ni kwamba Manzoki ana mkataba na Simba hata kabla hajaenda China. Dirisha hili dogo waliacha kumsajili kwa kuwa angekaa tu akitibiwa maana ni majeruhi atakayekaa nje kwa miezi kadhaa. Kwa hiyo Manzoki yupo pale akiutumikia mkataba wake, sio kwamba walishindwa kumsajili
We jamaa hauko sawa kichwani. Actual ni mpaka mwaka uishe, Bajeti ina figure ambazo zipo kwa uhalisia mfano wa hizo za wadhamini. Bajeti nzima ndio hiyo, Actual ni mpaka ufunge vitabu ndio utajua kama ulipata ulivyotarajia au la.Ni Bajeti vs Actual, sasa actual unadhani watareport ya mwaka mzima? Hizo Actual za Jan-June 2023 wanazitoa wapi?
Umekula ngap kwa mooWewe kweli ni "Kazitunayo"
Ni makubaliano tu. Kambole na Yacouba kwa zaidi ya miezi mitatu wamekaa kambini Kigamboni wakiwa wana mkataba na Yanga ila hawachezi. Namna walivyokuwawanalipwa ni makubaliano na klabu yaoAna mkataba Ila halipwi siyo?