Mbowe kwa baba mkwe!Sultan ni yule anayerithishwa cheo na wazazi wake. Sasa kati ya hao wawili niambie ni nani anarithi cheo au nafasi ya uongozi?
Kurithi kukoje? Anatoka baba yako then unachukua we madaraka au kuna wengine kama wanne wanapita hapo katikati then unakuja wewe ndo unakua umerithi? Tena hao waliopita hauna hta vinasaba nao, haya tuambie Hussein Mwinyi amerithi kwa nani?
Ha ha ha, siasa bana huwa ni suala la timmings tu!!Huyu hana namna, lazima apongeze tu, maana aliyemuita mshamba ndiye ameshika mpini.
CCJ ilishakufaWapi CCJ ?
Mbowe kwa baba mkwe!
Hahahaaaa...... Endelea kukariri!Angalau unakiri UMEONGOPA
Usultani aliongelea URAIS wa Zanzibar
acha kunukuu uongo
Ndo nakwambia we KILAZA, HUSSEIN MWINYI hajaridhi urais toka kwa baba yake, atachukua kijiti toka kwa Dr SheinTulia tu maana yawezekana kwa makusudi au kwa kutokujua umeuliza hilo swali.
kwanini mkuuHuyo mzee Mpumbavu tu
Kaka hili nilishalisema sana.Waambieni hao watangazaji wa tbc hatujaweka hiyo stn kuwasikiliza wao, wakae pembeni tuone na kusikia live sio kuwasikiliza wao. Ujumbe wafikishien
Membe tamaa mbele utaifa nyuma.Mngemruhusu na Membe naye achukue fomu ya kupitishwa kugombea huo Urais ndani ya chama chenu halafu matokeo ya kura nayo yangehesabiwa kwa uwazi kama yale ya Urais wa Zanzibar ningewasifu sana!
Nina imani ile jana, Mwenyekiti naye angejigeuza kuwa Jecha wa pili kwa aina ya matokeo ambayo angeyapata kutoka kwa wale Wajumbe waliokuwa wakimshangilia kinafiki.
Kuna mtu ambaye ni miongoni mwa walio hesabu kura, anasema matokeo yalikua mazuri lakini sio 100% .
Kilicho fanyika ni uungwana tuu na myangaza matokeo nadhani alikua na ujumbe toka juu kwamba kura zote zisomeke ndio.
Anasema matokeo kuwa mazuri japo siyo 100% yamechangiwa na mkakati ambao uliwekwa kuhesabu kura kwa mikoa ili kubaini mkoa upi upiga hapana.
Bahati mbaya moja ya mkoa ambao ulikua na hapana ni mkoa ulio karibu sana na muhusika.
Makubaliano hayo ya kutangaza 100% ambayo anasema hata nyerere hakuwahi kupata ni kuanza kwa kampeni za propaganda kwamba anakubalika na watanzania wote.
Na mtoa nyeti anasema, hata oct 25 anaweza jichukulia 100%, na hakuna waku uliza.
Moja ya jambo ambalo mtoa nyeti ameligusia ni mkakati wa kuto toa kopi ya matokeo, maana yake vituo vitakua na kopi moja tuu ya matokeo.
Mungu ibariki Tanzania, la msingi Barabara zinajengwa, na zahanati zinajengwa.
View attachment 1503805
Mnahangaika na vitu vidogo Sana!
Mmekalia kufatilia ya CCM yenu yanawashinda! Mtakuja kustuka mshapigwa tayari. Kajengeni chama chenu sio kila Siku kudandia ajenda! Mko tu nyuma ya Keyboard, kura ziko fieldKuna mtu ambaye ni miongoni mwa walio hesabu kura, anasema matokeo yalikua mazuri lakini sio 100% .
Kilicho fanyika ni uungwana tuu na myangaza matokeo nadhani alikua na ujumbe toka juu kwamba kura zote zisomeke ndio.
Anasema matokeo kuwa mazuri japo siyo 100% yamechangiwa na mkakati ambao uliwekwa kuhesabu kura kwa mikoa ili kubaini mkoa upi upiga hapana.
Bahati mbaya moja ya mkoa ambao ulikua na hapana ni mkoa ulio karibu sana na muhusika.
Makubaliano hayo ya kutangaza 100% ambayo anasema hata nyerere hakuwahi kupata ni kuanza kwa kampeni za propaganda kwamba anakubalika na watanzania wote.
Na mtoa nyeti anasema, hata oct 25 anaweza jichukulia 100%, na hakuna waku uliza.
Moja ya jambo ambalo mtoa nyeti ameligusia ni mkakati wa kuto toa kopi ya matokeo, maana yake vituo vitakua na kopi moja tuu ya matokeo.
Mungu ibariki Tanzania, la msingi Barabara zinajengwa, na zahanati zinajengwa.
View attachment 1503805