Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Januari 13 na 16, 2025, mabaraza ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya vijana (Bavicha), wazee (Bazecha) na wanawake (Bawacha) yanafanya uchaguzi wa kupata viongozi wake, huku makundi mawili kwenye Uchaguzi ngazi ya Uenyekiti kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu yakitarajiwa kuibua mvutano mkali kuelekea Januari 21 siku ya Uchaguzi.
HELLEN KAYANZA ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU BAZECHA
Wajumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA, wamemchagua Hellen Kayanza kuwa Katibu Mkuu wa baraza hilo (BAZECHA) kwa kura 115 akiwabwaga washindani wengine wawili.
Kabla ya matokeo hayo yaliyotangazwa mapema leo Jumanne Januari 14, 2025, Hellen alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa BAZECHA kwa upande wa Tanzania Bara.
MATOKEO BAZECHA
1. Suzane Lyimo —Mwenyekiti Taifa
2. Hellen Kayanza —Katibu Mkuu
3. Hamid Mfalingundi —Naibu Katibu Mkuu
Matokeo ya uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) ngazi ya Taifa
Mwenyekiti
01. DEOGRATIAS MAHINYILA - 204
02. HAMIS MAMBO MASUD - 112
03. SHIJA SAMWEL SHIBESHI - alijitoa
Makamu Mwenyekti Bara
01. JUMA MOHAMMED NG’ITU - 90 (28%)
03. NECTO KITIGA - 101 (31.7%)
04. NICE LAZARO SUMARI - 47 (14%)
05. VITUS RUTINWA NKUNA - 24 (7.5%)
06. MKOLLA A MASUD - 32 (10%)
02. NECTO KITIGA
Sharifa Suleiman ameibuka mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa kwa kura 222 (62%), akimshinda Celestine Simba aliyepata kura 139 (38%) baada ya uchaguzi kurudiwa kutokana na kutokuwa na mgombea aliyepata zaidi ya asilimia 50 ya kura.
Katika matokeo ya awali, Sharifa alipata kura 167, Celestine kura 116 na Suzan Kiwanga akiambulia kura 100.
Matokeo mzunguko wa kwanza:
Vilevile, Elizabeth Mwakimomo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa BAWACHA Bara kwa kura 212 (59%), akimshinda Salma Kasanzu aliyepata kura 147 (41%).
Katika matokeo ya awali, Elizabeth Mwakimomo alipata kura 157, Salma Kasanzu kura 95, kutokuwa na mgombea aliyepata zaidi ya asilimia 50 ya kura uchaguzi ulirudiwa.
Matokeo ya jumla (round 2) Mwenyekiti Bara
1. Sharifa Suleiman - Kura: 222 (62%)
2. Celestine Simba - Kura 139 (38%)
Idadi ya wapiga kura mzunguko wa pili waliojisajili - 382
Makamu Mwenyekiti Bara
1. Elizabeth Mwakimomo - Kura: 212 (59%)
2. Salma Kasanzu - Kura 147 (41%)
Idadi ya wapiga kura mzunguko wa pili waliojisajili - 382
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
Wagombea
1. Bahati Hadji - 212 (54%)
2. Zainab Bakar - 159 (42%)
Idadi ya wapiga kura waliojisajili - 382
Wajumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA, wamemchagua Hellen Kayanza kuwa Katibu Mkuu wa baraza hilo (BAZECHA) kwa kura 115 akiwabwaga washindani wengine wawili.
Kabla ya matokeo hayo yaliyotangazwa mapema leo Jumanne Januari 14, 2025, Hellen alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa BAZECHA kwa upande wa Tanzania Bara.
MATOKEO BAZECHA
1. Suzane Lyimo —Mwenyekiti Taifa
2. Hellen Kayanza —Katibu Mkuu
3. Hamid Mfalingundi —Naibu Katibu Mkuu
Matokeo ya uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) ngazi ya Taifa
Mwenyekiti
01. DEOGRATIAS MAHINYILA - 204
02. HAMIS MAMBO MASUD - 112
03. SHIJA SAMWEL SHIBESHI - alijitoa
Makamu Mwenyekti Bara
01. JUMA MOHAMMED NG’ITU - 90 (28%)
03. NECTO KITIGA - 101 (31.7%)
04. NICE LAZARO SUMARI - 47 (14%)
05. VITUS RUTINWA NKUNA - 24 (7.5%)
06. MKOLLA A MASUD - 32 (10%)
- Kutokana na matokeo kuonyesha hamna mgombea aliyefikisha asilimia 50+1, uchaguzi ukarudiwa kwa wagombea wawili;
02. NECTO KITIGA
- Baada ya uchaguzi kurudiwa JUMA MOHAMMED NG’ITU akamuunga mkono mshindani wake NECTO KITIGA. Mwenyekiti wa uchaguzi akaitisha kura za ndio na hapana, NECTO KITIGA akashinda kwa kupata kura nyingi za ndio.
- Mgombea alikuwa mmoja, akapigia kuwa za ndio na hapana, akashinda ABDALLAH RASHID HAJI kwa kupata kura nyingi za ndio.
Sharifa Suleiman ameibuka mshindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa kwa kura 222 (62%), akimshinda Celestine Simba aliyepata kura 139 (38%) baada ya uchaguzi kurudiwa kutokana na kutokuwa na mgombea aliyepata zaidi ya asilimia 50 ya kura.
Katika matokeo ya awali, Sharifa alipata kura 167, Celestine kura 116 na Suzan Kiwanga akiambulia kura 100.
Matokeo mzunguko wa kwanza:
- Sharifa Suleiman - 164 (43%)
- Suzan Kiwanga - 100 (26%)
- Celestine Simba - 116 (30.4%)
Vilevile, Elizabeth Mwakimomo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa BAWACHA Bara kwa kura 212 (59%), akimshinda Salma Kasanzu aliyepata kura 147 (41%).
Katika matokeo ya awali, Elizabeth Mwakimomo alipata kura 157, Salma Kasanzu kura 95, kutokuwa na mgombea aliyepata zaidi ya asilimia 50 ya kura uchaguzi ulirudiwa.
Matokeo ya jumla (round 2) Mwenyekiti Bara
1. Sharifa Suleiman - Kura: 222 (62%)
2. Celestine Simba - Kura 139 (38%)
Idadi ya wapiga kura mzunguko wa pili waliojisajili - 382
- Kura zilizopigwa - 363
- Kura halali - 361
- Kura zilizoharibika 02
Makamu Mwenyekiti Bara
1. Elizabeth Mwakimomo - Kura: 212 (59%)
2. Salma Kasanzu - Kura 147 (41%)
Idadi ya wapiga kura mzunguko wa pili waliojisajili - 382
- Kura zilizopigwa - 361
- Kura halali - 359
- Kura zilizoharibika 02
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
Wagombea
1. Bahati Hadji - 212 (54%)
2. Zainab Bakar - 159 (42%)
Idadi ya wapiga kura waliojisajili - 382
- Kura zilizopigwa - 382
- Kura halali - 370
- Kura zilizoharibika 12
- Kinachoendelea katika Uchaguzi BAVICHA Taifa
- Waandishi wa Habari waondolewa katika ukumbi wa Uchaguzi wa Baraza la Vijana CHADEMA
- Kimeumana! mjumbe adakwa akidaiwa kugawa nauli uchaguzi Bavicha
- BAVICHA watoa ufafanuzi mazingira ya rushwa kwenye uchaguzi wao
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
- Wakili wa mahakama kuu achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa bavicha chadema leo 14.01.25. Je wakili Wakili Deogratius Mahinyila ni nani ?
- Shangwe la CHADEMA Arusha wakifurahia ushindi wa Deogratius Mahinyila kama Mwenyekiti MPYA wa BAVICHA Taifa
- Video: BAWACHA wamuunga mkono Tundu Lissu hadharani, wasema "Mabadiliko lazima"
- PICHA: Mbowe, Lissu wasalimiana Kibabe katika mkutano wa BAWACHA
- VIDEO: Mbowe, Lissu wasalimiana kibabe BAWACHA, huku wakicheza kwa bashasha wimbo wa "Tuvushe Mbowe Tuvusheee"
- Vurugu zazuka nje ya ukumbi wa uchaguzi Bawacha, Wafuasi wa Lissu na Mbowe wazichapa
- Uchaguzi wa BAWACHA nafasi ya Mwenyekiti kurudiwa baada ya wagombea wote kushindwa kufikia asilimia 50 ya kura zilizopigwa
- Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa
- Vurugu zaibuka tena usiku huu Uchaguzi wa BAWACHA. Rushwa yatajwa
- Dosari na Rafu kwenye Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA Taifa 2025