Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Vipi uchaguzi huru na haki? Maana hatujasikia malalamiko.Hongera wakili msomi.
Mwaka wa mawakili huu
Tarehe 21 tusisikie visingizio au pesa za Abdul.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi uchaguzi huru na haki? Maana hatujasikia malalamiko.Hongera wakili msomi.
Mwaka wa mawakili huu
Wewe ni Mchagga kumzidi God bless Lema? 😂😂😂😂Hapa ndpo unoa kuwa watanzania bado sana...kama kuna mtu anamshabikia Lisu, ujue bado sana. Lisu ni mropokaji wa mambo with no evidence! Leta ushahidi wa AAbdul...hakuna, bado wanamuamini... Mara Mbowe kahongwa V8 mbili na serikali......docs hizo zikioneshwa zimenunuliwa kwenye mnada wa USA Embasy....Leo sigombei na Mbowe, kesho nagombea, mara nautaka urais.......
Hao Bavicha nadhani kutakuwa na uwakilishi sio wote,vijana sera Lissu na misimamo yake wameelewa,tatizo sasa wajumbe wa mabaraza tofauti nadhani wengi watampigia Mbowe.Hawa Bavicha ndio wanapiga kura za mwenyekiti wa chama au kuna uwakilishi tu wa wajumbe kadhaa?
21 January ni Uongozi wa Dola 😂Vipi uchaguzi huru na haki? Maana hatujasikia malalamiko.
Tarehe 21 tusisikie visingizio au pesa za Abdul.
Leo wajumbe walipambana isifanyike uwizi milango yote ya rushwa asilimia kubwa ilikwamaVipi uchaguzi huru na haki? Maana hatujasikia malalamiko.
Tarehe 21 tusisikie visingizio au pesa za Abdul.
Ivi kwa akili kisoda tu...kushindwa kuleta ushahidi ndio kusema kua Jambo lipo/halipo?!Hapa ndpo unoa kuwa watanzania bado sana...kama kuna mtu anamshabikia Lisu, ujue bado sana. Lisu ni mropokaji wa mambo with no evidence! Leta ushahidi wa AAbdul...hakuna, bado wanamuamini... Mara Mbowe kahongwa V8 mbili na serikali......docs hizo zikioneshwa zimenunuliwa kwenye mnada wa USA Embasy....Leo sigombei na Mbowe, kesho nagombea, mara nautaka urais.......
HELLEN KAYANZA ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU BAZECHA
Wajumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA, wamemchagua Hellen Kayanza kuwa Katibu Mkuu wa baraza hilo (BAZECHA) kwa kura 115 akiwabwaga washindani wengine wawili.
Kabla ya matokeo hayo yaliyotangazwa mapema leo Jumanne Januari 14, 2025, Hellen alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa BAZECHA kwa upande wa Tanzania Bara.
MATOKEO BAZECHA
1. Suzane Lyimo —Mwenyekiti Taifa
2. Hellen Kayanza —Katibu Mkuu
3. Hamid Mfalingundi —Naibu Katibu Mkuu
MATOKEO BAVICHA
- Wakili Deogratias Mahinyila ameshinda Uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA kwa kura 204 dhidi ya 112 za mpinzani wake
Tazama LIve mchakato wa kuhesabu Kura za Wagombea Ukiendelea
Pia, Soma matukio yote kuhusu Uchaguzi Bavicha na Bazecha 2025:
- Kinachoendelea katika Uchaguzi BAVICHA Taifa
- Waandishi wa Habari waondolewa katika ukumbi wa Uchaguzi wa Baraza la Vijana CHADEMA
- Kimeumana! mjumbe adakwa akidaiwa kugawa nauli uchaguzi Bavicha
- BAVICHA watoa ufafanuzi mazingira ya rushwa kwenye uchaguzi wao
- CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu
Tarehe 21 ni Lissu vs Dola ya CCM.Vipi uchaguzi huru na haki? Maana hatujasikia malalamiko.
Tarehe 21 tusisikie visingizio au pesa za Abdul.
Hii ndiyo hali halisi ilivyo, Mbowe na vibaraka wake walishachokwa siku nyingi.Hawa Bavicha ndio wanapiga kura za mwenyekiti wa chama au kuna uwakilishi tu wa wajumbe kadhaa?
Halafu mseme hamtendewi haki.Malaria Sugu asubuhi aliteta uzushi kuwa huyu dogo ameshindwa vibaya.
Kama muislam lkn na sio muislam tu uwe mcha MunguMbingun kuna makaoo mazuri sana
Utamaliza maneno yote mwenyewe mnafiq mkubwa weweHalafu mseme hamtendewi haki.
Watafanya nini? Kwani wanakatazwa na nani kufanya sasa...ujinga tuTayari tumewaletea WaTanzania CHUMA .....Ni zaidi ya MALEMA
Chadema ni Kiwanda cha kuandaa VIONGOZI
Sisiemu mjipange mwaka huu...
Akileta za kuleta atajiju. Hakuna Msaada wa NairobiTarehe 21 ni Lissu vs Dola ya CCM.
Wewe ni "tired" na "retired".Hapa ndpo unoa kuwa watanzania bado sana...kama kuna mtu anamshabikia Lisu, ujue bado sana. Lisu ni mropokaji wa mambo with no evidence! Leta ushahidi wa AAbdul...hakuna, bado wanamuamini... Mara Mbowe kahongwa V8 mbili na serikali......docs hizo zikioneshwa zimenunuliwa kwenye mnada wa USA Embasy....Leo sigombei na Mbowe, kesho nagombea, mara nautaka urais.......
Si kweli. Kijijini kwangu hata bendera ya CHADEMA rangi yake hawaijui. Uchaguzi wa serikali ya mitaa tarafa mzima hakukuwa na mgombea wa CHADEMA. Endeleeni kujifariji kuwa Chama kinanguvu mitandaoni Hadi mitaani.Hivi walioko huko mtaani si ndo hao hao walioko kwenye mitandao ya kijamii?
Lema darasa la saba anajua niniWewe ni Mchagga kumzidi God bless Lema? 😂😂😂😂
Mtaa unaoishi wewe ni wa mateja... Maana mateja huwa ndiyo hawana walijualo.Kwenye ulimwengu wa mitandao ya kijami uchaguzi wa chadema umeshika hatamu pengine kuliko uchaguzi mkuu, ila huku mitaani hata chadema haijulikani achilia mbali uchaguzi wao