Pre GE2025 Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025

Pre GE2025 Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapa ndpo unoa kuwa watanzania bado sana...kama kuna mtu anamshabikia Lisu, ujue bado sana. Lisu ni mropokaji wa mambo with no evidence! Leta ushahidi wa AAbdul...hakuna, bado wanamuamini... Mara Mbowe kahongwa V8 mbili na serikali......docs hizo zikioneshwa zimenunuliwa kwenye mnada wa USA Embasy....Leo sigombei na Mbowe, kesho nagombea, mara nautaka urais.......
Wewe ni Mchagga kumzidi God bless Lema? 😂😂😂😂
 
Hapa ndpo unoa kuwa watanzania bado sana...kama kuna mtu anamshabikia Lisu, ujue bado sana. Lisu ni mropokaji wa mambo with no evidence! Leta ushahidi wa AAbdul...hakuna, bado wanamuamini... Mara Mbowe kahongwa V8 mbili na serikali......docs hizo zikioneshwa zimenunuliwa kwenye mnada wa USA Embasy....Leo sigombei na Mbowe, kesho nagombea, mara nautaka urais.......
Ivi kwa akili kisoda tu...kushindwa kuleta ushahidi ndio kusema kua Jambo lipo/halipo?!
 
HELLEN KAYANZA ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU BAZECHA

Wajumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA, wamemchagua Hellen Kayanza kuwa Katibu Mkuu wa baraza hilo (BAZECHA) kwa kura 115 akiwabwaga washindani wengine wawili.

Kabla ya matokeo hayo yaliyotangazwa mapema leo Jumanne Januari 14, 2025, Hellen alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa BAZECHA kwa upande wa Tanzania Bara.

MATOKEO BAZECHA

1. Suzane Lyimo —Mwenyekiti Taifa
2. ⁠Hellen Kayanza —Katibu Mkuu
3. ⁠Hamid Mfalingundi —Naibu Katibu Mkuu

MATOKEO BAVICHA

-
Wakili Deogratias Mahinyila ameshinda Uchaguzi wa Mwenyekiti wa BAVICHA kwa kura 204 dhidi ya 112 za mpinzani wake

Tazama LIve mchakato wa kuhesabu Kura za Wagombea Ukiendelea


Pia, Soma matukio yote kuhusu Uchaguzi Bavicha na Bazecha 2025:

HYA NDIOOO MAMBOOOO LISSU ANAYALAANI

SUZAN LYIMOOOOO BADOOO YUPOOO AISEE KAZI MNAYOOO

SIHSANGAII KUONA WAKINA NDESA FAMILIA WAKIRUDI
 
Hawa Bavicha ndio wanapiga kura za mwenyekiti wa chama au kuna uwakilishi tu wa wajumbe kadhaa?
Hii ndiyo hali halisi ilivyo, Mbowe na vibaraka wake walishachokwa siku nyingi.
Wataleta pesa tutakula na kura hawatopata.Tunataka chama kirudi kwa wanachama na kiaminiwe tena na watz waliokatishwa tamaa na siasa za kijasiliamali za mbowe
 
Hapa ndpo unoa kuwa watanzania bado sana...kama kuna mtu anamshabikia Lisu, ujue bado sana. Lisu ni mropokaji wa mambo with no evidence! Leta ushahidi wa AAbdul...hakuna, bado wanamuamini... Mara Mbowe kahongwa V8 mbili na serikali......docs hizo zikioneshwa zimenunuliwa kwenye mnada wa USA Embasy....Leo sigombei na Mbowe, kesho nagombea, mara nautaka urais.......
Wewe ni "tired" na "retired".
Mwambie Mbowe wako kuwa naye ni tired na ni Retired !
 
Hivi walioko huko mtaani si ndo hao hao walioko kwenye mitandao ya kijamii?
Si kweli. Kijijini kwangu hata bendera ya CHADEMA rangi yake hawaijui. Uchaguzi wa serikali ya mitaa tarafa mzima hakukuwa na mgombea wa CHADEMA. Endeleeni kujifariji kuwa Chama kinanguvu mitandaoni Hadi mitaani.
 
Kwenye ulimwengu wa mitandao ya kijami uchaguzi wa chadema umeshika hatamu pengine kuliko uchaguzi mkuu, ila huku mitaani hata chadema haijulikani achilia mbali uchaguzi wao
Mtaa unaoishi wewe ni wa mateja... Maana mateja huwa ndiyo hawana walijualo.
 
Back
Top Bottom