Pre GE2025 Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025

Pre GE2025 Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapa ndpo unoa kuwa watanzania bado sana...kama kuna mtu anamshabikia Lisu, ujue bado sana. Lisu ni mropokaji wa mambo with no evidence! Leta ushahidi wa AAbdul...hakuna, bado wanamuamini... Mara Mbowe kahongwa V8 mbili na serikali......docs hizo zikioneshwa zimenunuliwa kwenye mnada wa USA Embasy....Leo sigombei na Mbowe, kesho nagombea, mara nautaka urais.......
Kama unaweza gombea na Lissu ili ujue kuwa huna lolote.
 
Si kweli. Kijijini kwangu hata bendera ya CHADEMA rangi yake hawaijui. Uchaguzi wa serikali ya mitaa tarafa mzima hakukuwa na mgombea wa CHADEMA. Endeleeni kujifariji kuwa Chama kinanguvu mitandaoni Hadi mitaani.
Kwani hao wa kijijini kwenu, ndo hao hao wapo kwenye mitandao ya kijamii? Maana naona unachanganya madesa, wala hujajibu swali langu.
 
IMG-20250116-WA0060.jpg
 
Hivi Kuna uchaguzi wa chadema umewahi kufatiliwa kama huu mwaka huu!?
Anyway Samia Oye! Oyeeeeeee!!!
 
Kumbe Berson huyu huyu ambaye Taaluma ni Mwalimu ghafla tu amekua Engineer.......... Tanzania ina mambo sana
si kama Lema tu,
kutoka kua mnyanganyi wa malori, hadi kua nabii 🐒
 
Januari 13 na 16, 2025, mabaraza ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya vijana (Bavicha), wazee (Bazecha) na wanawake (Bawacha) yanafanya uchaguzi wa kupata viongozi wake, huku makundi mawili kwenye Uchaguzi ngazi ya Uenyekiti kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu yakitarajiwa kuibua mvutano mkali kuelekea Januari 21 siku ya Uchaguzi.
HELLEN KAYANZA ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU BAZECHA

Wajumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA, wamemchagua Hellen Kayanza kuwa Katibu Mkuu wa baraza hilo (BAZECHA) kwa kura 115 akiwabwaga washindani wengine wawili.

Kabla ya matokeo hayo yaliyotangazwa mapema leo Jumanne Januari 14, 2025, Hellen alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa BAZECHA kwa upande wa Tanzania Bara.

MATOKEO BAZECHA

1. Suzane Lyimo —Mwenyekiti Taifa
2. ⁠Hellen Kayanza —Katibu Mkuu
3. ⁠Hamid Mfalingundi —Naibu Katibu Mkuu

Matokeo ya uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) ngazi ya Taifa

Mwenyekiti

01. DEOGRATIAS MAHINYILA - 204

02. HAMIS MAMBO MASUD - 112
03. SHIJA SAMWEL SHIBESHI - alijitoa

Makamu Mwenyekti Bara

01. JUMA MOHAMMED NG’ITU - 90 (28%)

03. NECTO KITIGA - 101 (31.7)
04. NICE LAZARO SUMARI - 47 (14)
05. VITUS RUTINWA NKUNA - 24 (7.5)
06. 02 MKOLLA A MASUD - 32 (10)

  • Kutokana na matokeo kuonyesha hamna mgombea aliyefikisha asilimia 50+1, uchaguzi ukarudiwa kwa wagombea wawili;

01. JUMA MOHAMMED NG’ITU
02. NECTO KITIGA
  • Baada ya uchaguzi kurudiwa JUMA MOHAMMED NG’ITU akamuunga mkono mshindani wake NECTO KITIGA. Mwenyekiti wa uchaguzi akaitisha kura za ndio na hapana, NECTO KITIGA akashinda kwa kupata kura nyingi za ndio.
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
  • Mgombea alikuwa mmoja, akapigia kuwa za ndio na hapana, akashinda ABDALLAH RASHID HAJI kwa kupata kura nyingi za ndio.
Pia, Soma matukio yote kuhusu Uchaguzi Bavicha na Bazecha 2025:
JamiiForums Moderator Paw Cookie .. wakuu nimewatag hapa ili ifike mahali mtusaidie sisi waanzisha uzi ambao ni kama tunakurupuka. Mtufundishe tofauti ya LIVE na habari ya kawaida. Hii hapa sio live, hii ni habari ya kawaida. Ni sawa na wale wanaokimbilia kuanzisha nyuzi za michezo na kuita live wakati hakuna update yoyote zaidi ya kuambulia final results. Live ni angalau kila baada ya dakika mbili tatu tunaona progress. The same applies here. Haya mkutano wa BAWACHA unaendelea muda huu lakini UPDATE hakuna, sasa nini maana ya live?? Afterwards mwenye uzi atakuja na kuandika results. Let's put this clear.


Subjected to correction! Merci..🙏🙏👋
 
Januari 13 na 16, 2025, mabaraza ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya vijana (Bavicha), wazee (Bazecha) na wanawake (Bawacha) yanafanya uchaguzi wa kupata viongozi wake, huku makundi mawili kwenye Uchaguzi ngazi ya Uenyekiti kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu yakitarajiwa kuibua mvutano mkali kuelekea Januari 21 siku ya Uchaguzi.
HELLEN KAYANZA ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU BAZECHA

Wajumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA, wamemchagua Hellen Kayanza kuwa Katibu Mkuu wa baraza hilo (BAZECHA) kwa kura 115 akiwabwaga washindani wengine wawili.

Kabla ya matokeo hayo yaliyotangazwa mapema leo Jumanne Januari 14, 2025, Hellen alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa BAZECHA kwa upande wa Tanzania Bara.

MATOKEO BAZECHA

1. Suzane Lyimo —Mwenyekiti Taifa
2. ⁠Hellen Kayanza —Katibu Mkuu
3. ⁠Hamid Mfalingundi —Naibu Katibu Mkuu

Matokeo ya uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) ngazi ya Taifa

Mwenyekiti

01. DEOGRATIAS MAHINYILA - 204

02. HAMIS MAMBO MASUD - 112
03. SHIJA SAMWEL SHIBESHI - alijitoa

Makamu Mwenyekti Bara

01. JUMA MOHAMMED NG’ITU - 90 (28%)

03. NECTO KITIGA - 101 (31.7)
04. NICE LAZARO SUMARI - 47 (14)
05. VITUS RUTINWA NKUNA - 24 (7.5)
06. 02 MKOLLA A MASUD - 32 (10)

  • Kutokana na matokeo kuonyesha hamna mgombea aliyefikisha asilimia 50+1, uchaguzi ukarudiwa kwa wagombea wawili;

01. JUMA MOHAMMED NG’ITU
02. NECTO KITIGA
  • Baada ya uchaguzi kurudiwa JUMA MOHAMMED NG’ITU akamuunga mkono mshindani wake NECTO KITIGA. Mwenyekiti wa uchaguzi akaitisha kura za ndio na hapana, NECTO KITIGA akashinda kwa kupata kura nyingi za ndio.
Makamu Mwenyekiti Zanzibar
  • Mgombea alikuwa mmoja, akapigia kuwa za ndio na hapana, akashinda ABDALLAH RASHID HAJI kwa kupata kura nyingi za ndio.
Pia, Soma matukio yote kuhusu Uchaguzi Bavicha na Bazecha na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025;

Update na Bawacha.
 
Wanawake wa Baraza la wanawake chadema, wamepuuza wito wa kampeni za kibaraka makamu mwenekiti wa chadema taifa na mgombea wake wa uenyekiti BAWACHA Selestine Simba, mwenye sifa ya mdomo wa uropokaji na makele kama yake.
Badala yake amechaguliwa Sharifa Suleiman kutoka Zanzibar.

Huu ni ujumbe wa wazi kwamba hakuna namna kibaraka anaweza kushinda nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa. Na hana sababu hata moja kuwapa kazi akina heche na pambalu kuandaa fujo na vurugu wakati wa uchaguzi Jan.21.2025, ili kuharibu zoezi zima la uchaguzi huo.

una maoni gani? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Viva Comrada Stephen Wasira, M/Kiti mpya wa CCM Taifa.
 
Adui wa maendeleo ya taifa

Asokua na uzalendo kwa nchi yake

Kibaraka na msaliti anatafuta nafasi ya kutumika na wale mabwana mabeberu

Bwana Tundu
 
Back
Top Bottom