Mkutano wa CHADEMA: Pambalu aomba waliokamatwa kwa kesi za kuuza madawa ya kulevya waachiwe huru kuendelea na kazi zao CHADEMA

Mkutano wa CHADEMA: Pambalu aomba waliokamatwa kwa kesi za kuuza madawa ya kulevya waachiwe huru kuendelea na kazi zao CHADEMA

CHADEMA leo imeanza mikutano yake ya hadhara jijini Mwanza. Miongoni mwa viongozi waliopewa nafasi kuzungumza ni Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu ameomba mwenyekiti wa chama hiko apeleke hoja kwa Mhe. Rais Samia Suluhu kuwa waliokamata kwa kesi za kuuza madawa ya kulevya waachiwe huru waendelee na kazi zao CHADEMA.

View attachment 2490277
Hivi Kwa nini wanachama wa CCM mmechagua upumbavu kuwa sera yenu rasmi? Pambalu kaongea kaeleweka Kwa kusema kuna wanachama wengi wa CHADEMA bado wako magerezani Kwa kesi za kusingiziwa ikiwemo madawa ya kulevya. Akamwomba mh Mbowe apeleke hoja Kwa Rais waliobambikiwa kesi waachiwe mara moja. Wewe unakuja na upuuzi wako hapa utadhani unaharisha?
 
Back
Top Bottom