Golugwa ndiye alikuwa meneja wa kampeni wa lisu 2020? Au nachanganya majina!Hatunsimamishi Lema Bali Golugwa. Lema aende machame au Moshi mjini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Golugwa ndiye alikuwa meneja wa kampeni wa lisu 2020? Au nachanganya majina!Hatunsimamishi Lema Bali Golugwa. Lema aende machame au Moshi mjini.
Mbona unamhemko ndugu!!Bado haujajibu swali langu.Lema aliacha wiz na ujambaz wa magari lini?Tukuulize wewe uliyeibiwa naye! Alikuibia lingine Tena? Japo Nina uhakika hujawahi kumiliki gari na hata kwenye ukoo wenu mnaishia kuona za majirani tu!
Wewe na nani?Hatuna muda wa kusikia waliovimbiwa na asali.
Tunasaka mapene hali si hali.
Ajitahidi kukuelewa kama ana akili zinazofanya kazi vizuri.Midomo michafu ya Tundu Lissu na Godbless Lema ikoje? Hebu thibitisha..
Lakini Kwa hakika kabisa, kama huwa humwelewi na ku - admire Tundu Lissu Kila anapojenga hoja zake, basi wewe 1000 digits ni mjinga kabisa.!
Tatizo lenu mmezoea kusikiliza politicians waongo waongo na wanaopenda kupaka rangi upepo.
Watu kama Tundu Lissu na Godbless Lema walishakataa ujinga huo.
##Kama kitu ni nyeupe, lazima useme ni nyeupe na siyo nyeusi.
##Kama u - bodaboda ni moja ya indicator ya umasikini na umasikini ni LAANA katika jamii, basi sema hivyo na siyo kusema "huo ni magawanyo wa majukumu"
##Sasa kama kuusema ukweli kama ulivyo ni "kutotumia lugha ya hekima na busara" Kwa mtazamo na maoni yako, basi wewe ni mjinga na mnafiki mkubwa usiyestahili kusikilizwa!!
Hahahah[emoji23]Hatuna muda wa kusikia waliovimbiwa na asali.
Tunasaka mapene hali si hali.
Kuna kitu hakika sawa na kinaenda kutolewa ufafanuzi muda mfupi ujao.
View attachment 2540448
Nadhani hii haikuwepo katika ratiba yake ila ndugu Godbless Lema anaitisha mkutano wa hadhara wa dharula, ngoja tuone na mlio karibu msisite kutoa updates.
Kupitia ukurasa wake wa tweeter Lema amesema;
"Kamanda John Heche,Peter Msigwa , John Pambalu,Prof Lwaitama,Ezekiel Wenje na Viongozi wengine tutakuwa na mkutano wa hadhara ktk viwanja vya soko kuu leo kuanzia Saa 8 Mchana."
Kichaa kapewa rungu.Kumdhibiti na kakimbia na rungu ni kazi kubwa.Mjitayarishe kwa damage controll.Akajenge hoja yake vizuri. Atumie lugha za busara na kujenga sio kuita kazi za wengine laana. Kama anadhani hawezi kueleweka, chama kifafanue
Kuna kitu hakika sawa na kinaenda kutolewa ufafanuzi muda mfupi ujao.
View attachment 2540448
Nadhani hii haikuwepo katika ratiba yake ila ndugu Godbless Lema anaitisha mkutano wa hadhara wa dharula, ngoja tuone na mlio karibu msisite kutoa updates.
Kupitia ukurasa wake wa tweeter Lema amesema;
"Kamanda John Heche,Peter Msigwa , John Pambalu,Prof Lwaitama,Ezekiel Wenje na Viongozi wengine tutakuwa na mkutano wa hadhara ktk viwanja vya soko kuu leo kuanzia Saa 8 Mchana."
😁 Wanachuga wanapenda mtu disaini ya Lema as wao walivyo, alafu elewa watu wa arusha ni aina ya watu jiwe as alivyokuwa jeshi la mtu mmoja, they don't care what's!.Yaan huwa sielewi watu wa arusha wanampendea nini lema? Maana nachojua Lema ni tapeli tapeli tu maneno yake hayana busara lakin dah arusha huiambii kitu na lema!
A: kumusoma umetoka wapi tena na wewe unarukia treni Kwa mbele?Ndugu unayetukana watu kuwa wajinga na wapumbavu.Ebu tueleze Lema alishaacha ujambaz wa kupora na kuiba magariImo
Tofautisha Hadhi ya nafasi ya urais na siasa za kijinga jinga. Lisu aligombea mpaka urais Kwa maana kwamba alitaka kuwa Rais.Midomo michafu ya Tundu Lissu na Godbless Lema ikoje? Hebu thibitisha..
Lakini Kwa hakika kabisa, kama huwa humwelewi na ku - admire Tundu Lissu Kila anapojenga hoja zake, basi wewe 1000 digits ni mjinga kabisa.!
Tatizo lenu mmezoea kusikiliza politicians waongo waongo na wanaopenda kupaka rangi upepo.
Watu kama Tundu Lissu na Godbless Lema walishakataa ujinga huo.
##Kama kitu ni nyeupe, lazima useme ni nyeupe na siyo nyeusi.
##Kama u - bodaboda ni moja ya indicator ya umasikini na umasikini ni LAANA katika jamii, basi sema hivyo na siyo kusema "huo ni magawanyo wa majukumu"
##Sasa kama kuusema ukweli kama ulivyo ni "kutotumia lugha ya hekima na busara" Kwa mtazamo na maoni yako, basi wewe ni mjinga na mnafiki mkubwa usiyestahili kusikilizwa!!
Mimi ningekua derava wa Bodaboda siku Ile aliyosema kuwa wamelaaniwa angekionacha mtema Kuni.A: kumusoma umetoka wapi tena na wewe unarukia treni Kwa mbele?
Nani kakuambia "ujinga" na "upumbavu" ni tusi?
Hizo ni sifa za kitu au mtu...
UJINGA ni kutojua au kutokuwa na taarifa sahihi juu ya jambo au mtu fulani.
UPUMBAVU ni kiwango cha juu kabisa cha ujinga ulio beyond repairable
Sasa wewe kumusoma uko kwenye kundi gani kati ya hayo mawili? Mjinga au mpumbavu au uko kotekote?
B. Kuhusu uporaji na ujambazi wa Godbless Lema. Wewe ndiye wasema. Na Kwa sababu hiyo wewe ndiye unayetakiwa kuthibitisha kwa ushahidi kuwa ni mpora magari ya watu..
Ukishindwa ku - prove, basi wewe kumusoma utakuwa si tu MJINGA bali wewe utakuwa ni MPUMBAVU uliyekubuhu Kwa kutuhumu watu bila ushahidi au Kwa kusikia umbea wa watu..!!