Mkutano wa G20 ni Tanzania pekee imepeleka wajumbe wengi sana, watu 100+kuliko hata wajumbe wa Brazili mwenyeji

We ni bwege lisilo na aibu
 
Kwakweli mama wa watu anajituma sana kwa ajiliya nchi yake, halafu asivyopenda makuu anataka kila mtu aweze kuambuliapo ndiyo maana anawakusanya t mama wa watu
 
Mambo ya uswahilini yanaakisi hadi juu.
Unampigia mtu simu aje anywe bia yeye anakuja na kundi la watu.

Akishalewa na bado atakuitia pembeni anataka aondoke na chochote kitu, mara nyumbani watoto hajawaacha na kitu.
 
Aaah aise hii too much
 
Nikajua kuna jipya limetokea huko Brazil, kumbe ni suala la idadi au wewe ni mgeni tz
 
Hii nchi tumerogwa siyo bure unaweza kuta wakina Steve mengele wapo kwenye ujumbe
 
Nchi ya laana hii. Utawala ukishikwa na watu wenye upeo mdogo, ndiyo matokeo yake ni kama haya.

Na ile miaka ya 90, Mwinyi naye alivunja rekodi ya kupeleka wajumbe 200 kwenye mkutano wa sustainable development, huko huko Rio De Janeiro. Wengi wakiwa ni wanafamilia wa viongozi, na wala hawakuingia kwenye mkutano, wakaishia kwenye shopping.

Sijui ni kwa nini uongozi umishikwa na waswahili wa pwani, mara nyingi kunakuwa na ufujaji mkubwa wa pesa ya umma! Ni kama wapo kwaajili ya kuwakomoa wananchi, halafu wanafanya hayo bila hata ya aibu!
 
Kama ni kweli, dhana ya kichwa cha mwendawazimu inaendelea!
 
Hawana Huruma na Kodi zetu..., ila ndio hivyo sikuhizi hawatoi ajira wala huduma zozote hivyo pesa wanajiamulia za kuzifanyia....
 
Photo Op unaenda na Watu 100?🤭🤭🫢 tate nane...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…