Mbulu hakuna magari? Wamshukuru sana MunguChama kinachoongoza kwa kuungwa mkono na watu wengi Nchini Tanzania , leo kimefanya Mkutano wa Hadhara huko Mbulu , kwenye Kata ya Mbulu .
Mwenyekiti wa Kanda hiyo , Nabii wa Mungu Godbless Lema ameongoza semina kali ya kumkataa Shetani na mambo yake yote .
Hali ilikuwa hivi
View attachment 2954777View attachment 2954778View attachment 2954827View attachment 2954829
Kumwita Lema Nabii ni kufuru isiyoelezeka. Hasira za Mungu mtaziona kwenye sanduku la kura 2025
Manabii ni wakina nani na maana yake ni nini ?Kumwita Lema Nabii ni kufuru isiyoelezeka. Hasira za Mungu mtaziona kwenye sanduku la kura 2025
Chama kinachoongoza kwa kuungwa mkono na watu wengi Nchini Tanzania , leo kimefanya Mkutano wa Hadhara huko Mbulu , kwenye Kata ya Mbulu .
Mwenyekiti wa Kanda hiyo , Nabii wa Mungu Godbless Lema ameongoza semina kali ya kumkataa Shetani na mambo yake yote .
Hali ilikuwa hivi
View attachment 2954777View attachment 2954778View attachment 2954827View attachment 2954829
Watu wa Imboru sio wajinga wajinga kama kule kwenye mibuyu na vumbiHao wairaqw wote ni CCM, ujue tu wairaqw wajanja sana, hapo hawatabishana na CHADEMA wala kuwaonyesha kuwakataa, ila kura zikipigwa matokeo CCM 99.99% na CHADEMA 0.01% ndio utajua CCM ni ya wairaqw..!! Chadema utasikia CCM wanaiba sana, si muibe na nyie, nyoko sana
Chadema iliwahi kushinda Ubunge mbulu , sasa kama unaleta uongo ni vema ukawa na kumbukumbuHao wairaqw wote ni CCM, ujue tu wairaqw wajanja sana, hapo hawatabishana na CHADEMA wala kuwaonyesha kuwakataa, ila kura zikipigwa matokeo CCM 99.99% na CHADEMA 0.01% ndio utajua CCM ni ya wairaqw..!! Chadema utasikia CCM wanaiba sana, si muibe na nyie, nyoko sana
Cdm kukosa nyomi kwenye nchi hii hilo sahau. Na ccm kuwashinda cdm kihalali hilo limeshashindikana, na halitakaa liwezekane tena. Kupora uchaguzi ndio njia ya pekee ya kuwafanya ccm waendelee kubaki madarakani kwa shuruti.Mpiga picha anajaribu kuchuchumaa ili ionekane watu ni wengi mpaka mwisho hawaonekani
AmenDongobesh Haydom mguu sawa....
Erythrocyte nakuonea huruma.
CDM wapunguze ukabila ,, haiwezekan anayeripot taarifa za chama ni Erythrocyte mtu kutoka Mwakareli lakini anayelipwa mshahara wa usemaji wa Chama ni Tumaini Makene kutoka Moshi.
CHADOMO ni chama cha wachagaErythrocyte nakuonea huruma.
CDM wapunguze ukabila ,, haiwezekan anayeripot taarifa za chama ni Erythrocyte mtu kutoka Mwakareli lakini anayelipwa mshahara wa usemaji wa Chama ni Tumaini Makene kutoka Moshi.
Ukombozi wa nini we lofa. Hayo wavuta bangi, wakabila, nakuonea huruma kupoteza muda wako, mpk vitukuu vyako CCM itaendelea kuongozaAsante kwa huruma yako , japo mimi sihitaji kulipwa kwa ajili ya ukombozi wa Nchi , bali nitachangia hata pesa taslimu ili kuleta ukombozi kupitia Chadema , chama pekee cha upinzani Tanzania
We mbona umetumia makalioToka lini lini Makene akawa mtu wa Moshi.
Umekalilishwa wewe. Can't you also use your own brain!?
Kufuru kivipi wakati Dr ni hadhi tunayopeana binadamu?..kumuita Samia Dr sio kufuru?🤣
Aliwakumbusha tuu easer wapumzike baada ya kustaafu. Lakini bado wapoAtakuwa katibu wa kwanza wa wazee kuisaidia ccm tangu chama hicho kiundwe , alizoea kutukana wazee na akapelekwa kwa wazee , ngoja tuone
Subirini tume takatifu ya uchaguzi itakavyotoa matokeo ya uchaguzi.Manabii ni wakina nani na maana yake ni nini ?
Sasa unalia nini ?Ukombozi wa nini we lofa. Hayo wavuta bangi, wakabila, nakuonea huruma kupoteza muda wako, mpk vitukuu vyako CCM itaendelea kuongoza