mkuu Fool ndo umesign jina lako hapo mwishoni? kumbuka siyo vema kureveal your name.Sijamuelewa huyu jamaa ana zungumzia nini, bora unge andika kwa lugha moja kuliko hivi unavyo mix swahili na ki-English, fool!
Wewe hapo sijakuelewa mkuu, una changanya lugha. nakushauri siku nyingine tumia lugha moja kuwasilisha hoja yako utaeleweka vizuri.Mnganyizi; kwanza karibu kikaoni, haalafu lete hiyo Mic kwanza.
Tumesema maadili hayaruhusu lugha ya matusi. tuko live TBC au unataka wakate matangazo?
Sasa turudi kwenye hoja yako, nani hujamuelewa?
Wana JF tafadhali tusichakachue lugha. Tutumie kiswahili tu, lugha yetu ya taifa.
Nashukuru kwa kuniona, ingawa naona DC anafaa zaidi kwa nafasi hii.Aiseee, nasikia kizungu zungu zungu halafu nguvu zinaniishia, naomba nikafungulie halafu narudi.
Msanii naomba nishikie kiti tafadhali, mwendelee hadi nitakaporudi.
Ila usichakachue, kumbuka hatuzungumzii vyama. Tunaongelea Utaifa na Uzalendo. Maslahi ya taifa Mbele.
Hahaaa msanii, kuna watu wanakimbia maajukumu hapa, nadhani kwa kuwa hakuna posho. Iko hivi:
Dark City = katibu lakini inaonekana amechomoa
WoS= Mwenyekiti ya Kamati ya kuhusu utawala bora na kama wahujumu wanyongwe au la. Kachomoa na kunipigia kelele eti atanifikisha mahakamani. Alimtumia pia lugha ya matusi mazito ya kawaida na ya nguoni pamoja na kejeli na kashfa.
Habari ndo hiyo, kinachoniweka hapa ni uzalendo tu.
Sasa nasubiri warudi niwaulize kama watafanya hiyo kazi au la.
Nimeyasaka katika thread hii sijayaona hayo matusi sijayaona labda ulimPM.Mwenyekiti anapokuwa mzushi sijui inakuwaje!
Mkuu ukiambiwa onyesha ni wapi lugha ya M... imetumika sijui utaonyesha nini kwa kweli.Naona hata huruma kukupeleka mahakamani maana nitakufilisi!
Wewe hapo sijakuelewa mkuu, una changanya lugha. nakushauri siku nyingine tumia lugha moja kuwasilisha hoja yako utaeleweka vizuri.
Mwenyekiti anapokuwa mzushi sijui inakuwaje!
Mkuu ukiambiwa onyesha ni wapi lugha ya M... imetumika sijui utaonyesha nini kwa kweli.Naona hata huruma kukupeleka mahakamani maana nitakufilisi!
Mwenyekiti..uteuzi huu ni batili..huna mamlaka ya kujipa ujiko wa uenyekiti..kwa msingi huo huwezi kuniteua.Teuzi hizi nazo zinafanya kazi nzima iwe batili
Mkuu Superman
Nimefanikiwa kwa ombi lako kusaka kwenye net na kukuta hii kitu itakayotuongoza kuchambua ahadi za Kikwete 2005. Nimeweka ilani kwanza kama walivyoiweka wenyewe kisha nasaka ahadi ambazo hazikuwekwa kwenye ilani
12. Jitihada pia zimefanyika na zinaendelea kufanyika za kukabiliana na umasikini wa kipato, yaani kuwafikishia wananchi manufaa ya kukua kwa uchumi kwa wao kufaidika mmoja mmoja. Hili ndilo hasa eneo ambalo sera ya uwezeshaji wa wananchi kiuchumi inahusika nalo. Agenda kuu katika eneo hili ni:-
(a) uwezeshaji
(b) Kupambana na umasikini
(c) Kushiriki katika uchumi wa nchi, na
(d) Ajira.
13. Eneo hili la kuyafikisha kwa wananchi manufaa ya kukua kwa uchumi wa nchi ndilo agenda kuu na changamoto ya msingi ya Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005. Na mbinu kuu za kuikabili changamoto hii ni pamoja na zifuatazo ambazo zote ni sehemu ya MKUKUTA:-
(a) Kuendelea kukua kwa uchumi wa nchi kwa kasi kubwa zaidi (kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2010).
(b) Kuongezeka kunakoendelea, kwa wingi na ubora wa huduma za jamii hasa elimu, afya, maji n.k. na miundombinu hasa barabara, madaraja, mawasiliano, umeme n.k.
(c) Modenaizesheni ya harakati mbalimbali za kiuchumi zinazowapatia ajira za kujiajiri na kipato wananchi, hjasa kilimo, ufugaji, viwanda vidogo, uvuvi, uchimbaji madini, n.k.
(d) Kuzipa uhai rasilimali mfu za wananchi ili ziweze kutumika kama dhamana za kujipatia mikopo, kwa kutumia mkakati wa kurasimisha rasilimali na biashara za wanyonge Tanzania (MKURABITA). Mkakati huu utachangamsha ajira za wananchi za kujiajiri wenyewe.
(e) Kuwawezesha wananchi kutumia fursa mbalimbali za maendeleo zilizopo kujiongezea kipato na kushiriki katika uchumi wa nchi, ikiwa ni pamoja na kuwawezesha kumiliki hisa katika makampuni mbalimbali, kama ilivyokwishaanza kwa mfuko wa umoja.
(f) Mkakati wa uanzishaji wa maeneo maalumu ya uchumi ( Special Economic Zones Strategy) kama unaotumiwa na nchi Asia ambao utazalisha ajira nyingi za kuajiriwa katika sekta rasmi, na za kujiajiri. Kwa jina jingine, mkakati huo unaitwa The Tanzania Mini-Tiger Plan.
(g) Kuimarisha taasisi zinazotoa mikopo kwa wananchi.
14. Kwa vile lengo la juhudi zote hizi zinazobainishwa na ilani ni kuyafanya maisha ya watanzania wawe bora zaidi, CCM imebuni kaulimbiu mbili zifuatazo.:-
(a) "Maisha bora kwa kila Mtanzania",
(b) "Kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya, Tanzania yenye neema tele inawezekana."
Ndiyo WoS umenitukana sana, tena mbele ya kadamnasi ya wana JF na nikataka kujiuzulu kama hawalaani kitendo hicho, mpaka wakati huu hakuna iliyefanya hivi. Hii issue yako imejaa harufu ya rushwa:
Hebu angalia matusi yako:
Umeona?
Uteuzi huu ni batili
Huna mamlaka
Unajipa ujiko wa uenyekiti
Huwezi kuniteua.
Teuzi hizi nazo zinafanya kazi nzima iwe batili
Nilikusihi sana matusi hayo ni makubwa sana na mimi ni kama baba yako lakini hukujali na bado ukatishia kunipeleka mahakamani.
Mpaka nikajiimbia wimbo wa "Najiweka pembeni, Naogopa Msongamano"
AiseeNdiyo WoS umenitukana sana, tena mbele ya kadamnasi ya wana JF na nikataka kujiuzulu kama hawalaani kitendo hicho, mpaka wakati huu hakuna iliyefanya hivi. Hii issue yako imejaa harufu ya rushwa:
Hebu angalia matusi yako:
Umeona?
Uteuzi huu ni batili
Huna mamlaka
Unajipa ujiko wa uenyekiti
Huwezi kuniteua.
Teuzi hizi nazo zinafanya kazi nzima iwe batili
Nilikusihi sana matusi hayo ni makubwa sana na mimi ni kama baba yako lakini hukujali na bado ukatishia kunipeleka mahakamani.
Mpaka nikajiimbia wimbo wa "Najiweka pembeni, Naogopa Msongamano"
Ndg M/Kiti,Ktb, na wajumbe wote mlikoko kwa kikoa hiki napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru kwa michango yenu kwa dhati, bila kupoteza muda nina yangu machache kwa kuanzia tu kwa leo hii.
- Katiba ya nchi ile ndio ya kwanza kufanyiwa marekebisho
- Baaada ya kuundwa katiba ya nchi kuwepo na mustakabali wa nchi hii ni katika kusimamia kila sector za serikali na umma katka uwajibikaji wao katika nchii.
- Elimu- kuwepo na mustakabali wa nchi ndipo kutaisimamia mfumo mpya wa elimu kama wenzangu waliotangulia wakiitaji mfumo mpya wa elimu na itatuondolea ile hali ya kila waziri aingiapo wizara hiyo na kujiwekea mfumo wake wa kuiongoza wizara kwa kuifanya kama sarakasi
- Afya
- Miundombinu na mawasiliano
- Viwanda
WOSWiki hii sijacheka kama nilivyocheka baada ya kusoma post ya mwenyekiti wangu wa mkutano!
Jamani...kiswahili chaenda kikiwa kigumu.Kama haya ni matusi ya nguoni, je yale yenyewe ya nguoni yatakuwa nini?
Yale yale ya jangwani...Aiseee, nasikia kizungu zungu zungu halafu nguvu zinaniishia, naomba nikafungulie halafu narudi..