Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
Wana-JF, Wakuu Wote; Viongozi Wote; Vijana Wetu (hasa wale wa jukwaa la mapenzi na mambo ya nanihii . . .)
Itifaki imezingatiwa!
Amandla!
Asalaam Aleykhum!
Bwana Yesu Asifiwe!
Haki Sawa . . .
Kidumu Chama . . .
Power to the . . .
Leo tumekutana hapa, ili kuzungumzia "Agenda Kuu 2010" ambazo wana-JF watapenda chama kitakachoingia madarakani wazisimamie . . . . Agenda zetu zimeegemea zaidi katika kuweka mbele uzalendo wetu na maslahi ya taifa . . .
Lugha ya matusi (LOL), hairuhusiwi, wala kejeli wala kutumia lugha isiyo ya kistaarabu. Mnatakiwa muwe na uvumilivu wa kisiasa.
Pia tusiegemee katika Udini wala Ukabila . . .
Baada ya Mjadala Mzito; Tutakuja na Vipaumbele vyetu vitatu kama "Agenda Kuu 2010".
Kwa maneno hayo machache sasa niwakaribishe ili muweze ku-propose "Agenda Kuu 2010" ambazo hazitafungamana na chama chochote!
Kila mmoja wenu anakaribishwa kushiriki Mkutano Wa Hadhara wa JF:
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/71880-mkutano-wa-hadhara-wa-wana-jf-%5Bonline%5D.html#post1058999
karibuni sana!
Itifaki imezingatiwa!
Amandla!
Asalaam Aleykhum!
Bwana Yesu Asifiwe!
Haki Sawa . . .
Kidumu Chama . . .
Power to the . . .
Leo tumekutana hapa, ili kuzungumzia "Agenda Kuu 2010" ambazo wana-JF watapenda chama kitakachoingia madarakani wazisimamie . . . . Agenda zetu zimeegemea zaidi katika kuweka mbele uzalendo wetu na maslahi ya taifa . . .
Lugha ya matusi (LOL), hairuhusiwi, wala kejeli wala kutumia lugha isiyo ya kistaarabu. Mnatakiwa muwe na uvumilivu wa kisiasa.
Pia tusiegemee katika Udini wala Ukabila . . .
Baada ya Mjadala Mzito; Tutakuja na Vipaumbele vyetu vitatu kama "Agenda Kuu 2010".
Kwa maneno hayo machache sasa niwakaribishe ili muweze ku-propose "Agenda Kuu 2010" ambazo hazitafungamana na chama chochote!
Kila mmoja wenu anakaribishwa kushiriki Mkutano Wa Hadhara wa JF:
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/71880-mkutano-wa-hadhara-wa-wana-jf-%5Bonline%5D.html#post1058999
karibuni sana!