Kama nilivyosema maazimio ni 20, sijaweza kuyaandika yote, ila nimeyasikiliza kwa juu juu tuu, nimeona kama hakuna kitu vile, ngoja nikiyapata yote na kuyameza, nitajaribu kutafakari zaidi, ila nav mimi pia naiona Redet inafanya kazi zake kwa umakini wa hali ya juu isije ikawaudhi washika mpini, kuna dhani ilijengwa hata Prof. Mkandala kapata ulaji na kuwa hapo alipo kwa sababu REDET imefagilia sana, ikamsafishia njia na si haba jamaa anakumbuka fadhila na ni mtu wa shukrani sana na hayo ndio maendeleo tunayoyataka.
Asanteni na kwaherini.
Mod ukiona vipi unganisha na ile ya jana, maazimio nitayaleta kesho.