Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #21
Mod, naomba nibadilishie headline ya hii thread isomeke 'Maazimio ya Mkutano wa Hali ya Siasa nchini.
Hivi sasa majadiliano kuhusu mada za leo, yameendelea, Balozi Nicolas Kuhanga, amebonda sana mfumo wa elimu nchini akisema unaendeshwa kwa utashi wa kisiasa na sio kimfumo wa elimu, emesema Tanzania sasa haina walimu tena wa shule za msingi, bali ina watu wanaosimama madarasani. Nilitegemea angesema labda baadhi, amegeneralize hakuna walimu, hakuna mfumo wa elimu ni vurugu mechi tupu.
Hivi sasa majadiliano kuhusu mada za leo, yameendelea, Balozi Nicolas Kuhanga, amebonda sana mfumo wa elimu nchini akisema unaendeshwa kwa utashi wa kisiasa na sio kimfumo wa elimu, emesema Tanzania sasa haina walimu tena wa shule za msingi, bali ina watu wanaosimama madarasani. Nilitegemea angesema labda baadhi, amegeneralize hakuna walimu, hakuna mfumo wa elimu ni vurugu mechi tupu.