Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Safari hii wajumbe wamesoma conscious ya walio wengi.Huyu kijana hajawahi kipiga vijembe bugeni ameongoza wizara mbili bila longolongo na haimbagi mapambio kama wengine ; ingawa sikufaulu hesabu,anaweza kushinda
Dr. Mwinyi Mgombea Urais Kwa Ticket Ya CCM Zanzibar
Amepata kura 129
 
Utawala wa ukoo ,familia zinakula keki ya taifa . Hongereni 2025 tutawawekea mke wa anayetoka madarakani
Hahahaha ama kweli. Uongozi Africa ni Chain. Wqcha tuone
 
Sasa zile kelele zenu za eti hoo Membe jasusi mbobevu na takataka nyingine kama hizo mlikuwa mnatoa wapi huku mkijua namna ccm inavyofanya kazi kama taasisi na si kama mtu mmoja?

Umekubali sasa kwamba Magufuli hafanyi yeye kama yeye bali kitaasisi?
Sasa hayo ya membe yametokea wapi ?

Kuna taaisis kama taasis na kuna ustashi wa mtu binafsi...Mimi kuwa ndani ya taasia haiwez nizuia nisiangalie mtu ambae anaweza kuvaa viatu vyangu...Kuna kupendekeza jina kama mwenyekiti so inavyofika kwenye maamuz basi una mute .
 
Pumba tupu! Hakuna kilichotekelezwa vyote hivyo. Hayo maneno hata kwenye debe tupu yamo. Mimi personally nina project ya kuajiri vijana 20 kwa average salary ya Tshs400,000 per month. Mpaka sasa nimecheleweshwa kuungiwa umeme na Tanesco wiki ya 3 sasa na makadirio ya TRA yako juu sana na hata biashara yenyewe sijaanza. Ajira my backside!
 
U
Mndengereko mwingine anaenda kutawala Zanzibar!
 
Imekuaje huyu Mbarawa akatupwa mbali kule wakati kuna wadau humu walisema ni kipenz cha jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…