Elections 2010 Mkutano wa kampeni arusha jakaya kikwete

Elections 2010 Mkutano wa kampeni arusha jakaya kikwete

Ngongo, crashwise, Maarifa.....imekuwaje huko A town na Muungwana?
 
Shekh Yahaya atakuwa anahusika na kupanga ratiba ya Jk.
Jamani yale meno ya takukuru yako wapi? Ama yalibaki kwenye mwili wa mke wa Sita huko Tabora? Rushwa ya mafuta, elfu kumi, ishirini nje nje. Sii ajabu hata magari ya takukuru yamenufaika na haya mafuta ya takrima.
JK ASIPOWATUMIA KINA JOTI KUVUTA VITOTO, HAKUNA MWENYE HAMU YA KUMSIKILIZA! Watu wakikuchoka ni tatizo, na usipotambua kuchokwa walikokuchoka ni tatizo kubwa zaidi!
 
BREAKING NYUZZZ:Nakaya sumari aniunga CCM leo
Nakaaya sumari jioni hii ametangaza kuhama chadema na kurejea ccm.
Katangaza hayo jioni hii mbele ya jk uwanja wa amri abeid jijini arusha wakati wa mkutano wa kampeni za wilaya ya arumeru.

Misupu
 
Nakaya sumari aniunga CCM leo
Nakaaya sumari jioni hii ametangaza kuhama chadema na kurejea ccm.
Katangaza hayo jioni hii mbele ya jk uwanja wa amri abeid jijini arusha wakati wa mkutano wa kampeni za wilaya ya arumeru.
Loh! halafu huyu amehusu kwa kina Rev Masalino...
 
Wakuu baada ya mkutano wa kampeni kumalizika Muungwana badala ya kwenda kulala Ikulu aliamua kutekeleza sheria ya uchaguzi alikwenda kulala Njiro Serengeti Road nyumbani kwa Mama Batilda Buriani.Tafadhali naomba nisiulizwe Mama Batilda alikuwepo nyumbani au aliamua kumpisha mkwere achapwe na baridi la Arusha mwenyewe.

hali ya ulinzi Njiro hasa maeneo ya Tanesco,Aman,Serengeti,Nalopa na Kontena jana ilikuwa nzuri tungeshukuru kama Ikulu itajengwa Njiro.
 
Wakuu baada ya mkutano wa kampeni kumalizika Muungwana badala ya kwenda kulala Ikulu aliamua kutekeleza sheria ya uchaguzi alikwenda kulala Njiro Serengeti Road nyumbani kwa Mama Batilda Buriani.Tafadhali naomba nisiulizwe Mama Batilda alikuwepo nyumbani au aliamua kumpisha mkwere achapwe na baridi la Arusha mwenyewe.

hali ya ulinzi Njiro hasa maeneo ya Tanesco,Aman,Serengeti,Nalopa na Kontena jana ilikuwa nzuri tungeshukuru kama Ikulu itajengwa Njiro.

What.....................................!!!!!!!!!!!!!!!! Salma umesikia hiyo?? Wenzio watakushangaza!!!
 
kuendelea kuwachagua ccm ni kujizika kwenye kaburi la umasikini
 
Nimeongea na dogo Arusha ni Taxi dereva, kumbe ni kweli bwana unaweka bendera ya CCM kwenye gari unaenda kituo cha Mafuta pale Mianzini unawekewa mafuta ya 10,000! Ama kweli CCM wanapesa inawanaitumia isipofaaa

Unasubiri na wewe si uende na bajaji lako ukajaze?
 
Back
Top Bottom