Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BREAKING NYUZZZ:Nakaya sumari aniunga CCM leo
Nakaaya sumari jioni hii ametangaza kuhama chadema na kurejea ccm.
Katangaza hayo jioni hii mbele ya jk uwanja wa amri abeid jijini arusha wakati wa mkutano wa kampeni za wilaya ya arumeru.
Loh! halafu huyu amehusu kwa kina Rev Masalino...Nakaya sumari aniunga CCM leo
Nakaaya sumari jioni hii ametangaza kuhama chadema na kurejea ccm.
Katangaza hayo jioni hii mbele ya jk uwanja wa amri abeid jijini arusha wakati wa mkutano wa kampeni za wilaya ya arumeru.
Loh! halafu huyu amehusu kwa kina Rev Masalino...
any updates kwa mlio arusha??
Ha ha ha ha ha ha:smile-big:Fatilia afya yake kwa jamaa walio USA river!
Wakuu baada ya mkutano wa kampeni kumalizika Muungwana badala ya kwenda kulala Ikulu aliamua kutekeleza sheria ya uchaguzi alikwenda kulala Njiro Serengeti Road nyumbani kwa Mama Batilda Buriani.Tafadhali naomba nisiulizwe Mama Batilda alikuwepo nyumbani au aliamua kumpisha mkwere achapwe na baridi la Arusha mwenyewe.
hali ya ulinzi Njiro hasa maeneo ya Tanesco,Aman,Serengeti,Nalopa na Kontena jana ilikuwa nzuri tungeshukuru kama Ikulu itajengwa Njiro.
Nimeongea na dogo Arusha ni Taxi dereva, kumbe ni kweli bwana unaweka bendera ya CCM kwenye gari unaenda kituo cha Mafuta pale Mianzini unawekewa mafuta ya 10,000! Ama kweli CCM wanapesa inawanaitumia isipofaaa