Mzee Nicodem David Mwabigija mkulima na mkazi wa Mbeya aliyefuatilia ubinafsishaji kupitia uwekezaji kwa miaka 30 uliobuniwa na serikali za awamu kadhaa za CCM tangu mabenki, migodi n.k na kubaini mpaka sasa Tanzania haijafaidika, sasa uwekezaji ana wasiwasi pia na DP World anasema Mzee huyu aliyeona mengi ...