SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Kimei amewagonga sana mademu wa CRDB kwa kigezo cha kuwaajiri.Yap jana alikuwa Sekao Lodge nilipokuwepo, anasema vijana tujiajir wakat yey kafanya kaz BOT miaka 20 na CRDB 2I na bado anautaka ubunge nilisepa aiseeh!
Na huku atawagonga pia mana anawaahidi mikopo isiyo na riba, ana wafadhili ndan na nje ya nchiKimei amewagonga sana mademu wa CRDB kwa kigezo cha kuwaajiri.
Kimei amewagonga sana mademu wa CRDB kwa kigezo cha kuwaajiri.
[/QUO Wewe vp kakuacha kweli?
Naskia ameahidiwa uwaziri.Kweli maisha yanaenda Kasi Sana kutoka ukurugenzi wa bank hadi ubunge dah
Ila yote haya ni kwasababu ya ujinga wa wananchi 99% ni wajinga na ndio mtaji
Ubunge hauna stress na ni sehemu ya kuvuta mpunga bila hofu ya kutumbuliwa. After 5 years unakunja TZS. 230+ million tax free. Kimei sio fala.Kweli maisha yanaenda Kasi Sana kutoka ukurugenzi wa bank hadi ubunge dah
Ila yote haya ni kwasababu ya ujinga wa wananchi 99% ni wajinga na ndio mtaji
Hawa wanasiasa wanarahisisha maisha. Anyway hakuna asiyependa kujiajiri kama uwezo wa kufanya hivyo upo, ni jambo bora.yap jana alikuwa Sekao lodge nilipokuwepo, anasema vijana tujiajir wakat yey kafanya kaz BOT miaka 20 na CRDB 2I na bado anautaka ubunge nilisepa aiseeh!
Akija kuwa Waziri wa fedha na mipango bado utamuona amekosea?Kweli maisha yanaenda Kasi Sana kutoka ukurugenzi wa bank hadi ubunge dah
Ila yote haya ni kwasababu ya ujinga wa wananchi 99% ni wajinga na ndio mtaji
Mbatia huyu huyu mtinda nyusi?Kule Mbatia anapita mapema sana
Mbatia huyu huyu mtinda nyusi?Kule Mbatia anapita mapema sana
Kwaiyo katika watu milioni karibia 60 yeye ndio wa maana katika pesa na mipango?Akija kuwa Waziri wa fedha na mipango bado utamuona amekosea?
Sasa hapo fala Nani kimei au wewe shabiki wa kimei??Ubunge hauna stress na ni sehemu ya kuvuta mpunga bila hofu ya kutumbuliwa. After 5 years unakunja 230+ million tax free. Kimei sio fala.
Relax. Kunywa maji.Sasa hapo fala Nani kimei au wewe shabiki wa kimei??
Okay cheer'sRelax. Kunywa maji.