SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Kwa hali ilivyo hakuna ubishi kwamba mgombea ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya CCM Dkt Charles Stephen Kimei ndiye anayekubalika zaidi jimboni humo na hivyo kupewa nafasi kubwa ya kushinda ubunge wa jimbo hilo.
#T2020JPM
#VunjoNiKimei
#T2020JPM
#VunjoNiKimei