Mkutano wa majadiliano ya fursa za uwekezaji kati ya Ufaransa na Zanzibar

Mkutano wa majadiliano ya fursa za uwekezaji kati ya Ufaransa na Zanzibar

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe. Ali Jabir Mwadini akizungumza katika Mkutano wa majadiliano ya fursa za uwekezaji kati ya Ufaransa na Zanzibar, ambapo Mgeni rasmi ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Park Hyatty Zanzibar tarehe 29 Mei, 2024.

IMG-20240529-WA0017.jpg
IMG-20240529-WA0019.jpg
IMG-20240529-WA0020.jpg
 
Back
Top Bottom