Mkutano wa Nishati ungefanyika Dodoma! Wageni wangelala na kustarehe wapi?

Mkutano wa Nishati ungefanyika Dodoma! Wageni wangelala na kustarehe wapi?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!

Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.

Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?🤣🤣🤣🤣

Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.

Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
 
Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!

Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.

Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?🤣🤣🤣🤣

Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.

Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
Mwanza je?
 
Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!

Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.

Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?🤣🤣🤣🤣

Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.

Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
Dar unaikuza sana wala haina maajabu kihivo!
 
Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!

Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.

Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?🤣🤣🤣🤣

Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.

Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
Acha hizo boss. Umeambiwa Dodoma Ina uhaba wa malazi kwa international guests. Ndiyo maana mnabanana kwenye jiji la joto, msongamano na takataka linaloitwa Dsm.
 
Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!

Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.

Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?🤣🤣🤣🤣

Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.

Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
Kwani wageni wanakufa kustarehe au kujadili issues.
 
Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?
Oya kule machakani upeleke mkutano huu? Emu punguzeni basi mambo hayo halafu wapunguze punguze zile squatters yaan mpangilio wa majengo ya nyumba na makazi haueleweki wamegeuziana vyoo huyu anakula pale anakunya km uswahilini nyumba zimebanana ndio waende wakaangalie hayo kule?

Dodoma palivyokua panapigwa promo nilijua pa kishua kumbe dah sio poa nimeenda mpaka pale mji wa magu eti umezungushiwa mabati wtf?

Halafu kuna machaka machaka oya yale machaka kwanini hawayafyeki kujenga mandhari nzuri ya mji
 
We ukisikia mikutano unadhani wanakuja kwa mikutano tu?

Ondoka kijijini huko utoe matongotongo.
Huku huku kijijini pananitosha mkuu wangu. Sinunui kuni wala maji nachota mtoni. Lakini wageni starehe wakale kwao. Hapa ni mausula ya nishati tu.
 
Oya kule machakani upeleke mkutano huu? Emu punguzeni basi mambo hayo halafu wapunguze punguze zile squatters yaan mpangilio wa majengo haueleweki wamegeuziana vyoo huyu anakula pale anakunya km uswahilini nyumba zimebanana ndio waende wakaangalie hayo kule?
Squatters zilizoko Tandale, Keko, msasani, Vingunguti, Kiwalani, Mbagala ziko mkoa wa Mbeya au Dsm.
 
Back
Top Bottom