Mkutano wa Nishati ungefanyika Dodoma! Wageni wangelala na kustarehe wapi?

Mkutano wa Nishati ungefanyika Dodoma! Wageni wangelala na kustarehe wapi?

Squatters zilizoko Tandale, Keko, msasani, Vingunguti, Kiwalani, Mbagala ziko mkoa wa Mbeya au Dsm.
Dar kubwa alafu kuna Upanga, Posta, Masaki, Mikocheni, Kijitonyama, Mwenge, Sinza , Bahari Beach, Mbeni Beach na Ununio.

Kote huko ni Dar
 
Hata Dodoma ni kubwa pia
Kubwa kivipi?

Vile vijiji vya Chamwino au kule mnadani ambapo papo kama jalalani hata vyoo vya maana havipo?

Ukipeleka ugeni huu Dodoma unaweza ambiwa unataka kuwapa kipindupindu kama wakifika pale mnadani.
 
Kubwa kivipi?

Vile vijiji vya Chamwino au kule mnadani ambapo papo kama jalalani hata vyoo vya maana havipo?

Ukipeleka ugeni huu Dodoma unaweza ambiwa unataka kuwapa kipindupindu kama wakifika pale mnadani.
Yule mwamba aliamua kuijenga mkarudisha mpira kwa kipa. Dsm
 
Squatters zilizoko Tandale, Keko, msasani, Vingunguti, Kiwalani, Mbagala ziko mkoa wa Mbeya au Dsm.
Watu wamezoea makelele na hawaoni kama tandale , tandika , mbagala, keko, mburahati, BUGURUNI sio uswazi
 
Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!

Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.

Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?🤣🤣🤣🤣

Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.

Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
Dodoma Bado haijakamilika kimiundombinu so ipe mda utafurahi zaidi kufikia 2030 Kila kitu kitakuwa tayari.
 
Dodoma acha Serikali waijenge tu.

Sekta binafsi kuweka uwekezaji kule kwa sasa ni hasara.
Hasara gani? Mbona wanawekeza? Dar yenyewe ilianza kujengwa na Serikali na Bado inajengwa.

Mahoteli yote makubwa hapo Dar yapo kwenye majengo ya Serikali private wamepanga.

Arusha na Zanzibar pekee ndiko private sectors Wameweka pesa za kujenga Hoteli zao za 5Star,4Star nk ila hapo Dar wamepanga.
 
Wenye madem zenu huko dar leo lazima muwe nao benet lah sivyo mtakula makombo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dodoma Bado haijakamilika kimiundombinu so ipe mda utafurahi zaidi kufikia 2030 Kila kitu kitakuwa tayari.
Hapana let's say 2050. Si mchezo mji kufika haraka hapa ilipofika Dar.

Hakuna cha kuifanya Dodoma ivutie kwa haraka kiasi hicho. Kwa kifupi Dodoma haina activity ya kumfanya mgeni a enjoy tofauti na Dar au Arusha.
 
Hapana let's say 2050. Si mchezo mji kufika haraka hapa ilipofika Dar.

Hakuna cha kuifanya Dodoma ivutie kwa haraka kiasi hicho. Kwa kifupi Dodoma haina activity ya kumfanya mgeni a enjoy tofauti na Dar au Arusha.
Sio swala la kufika kama Dar,kwanza Dar ni hovyo.

Dar ina mahoteli ya VIP kama Zanzibar na Arusha?
 
Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!

Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.

Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?🤣🤣🤣🤣

Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?🤣🤣🤣🤣

Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.

Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
Wamekuja kwenye mkutano au wamekuja kustarehe.?
 
Back
Top Bottom