Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Dar kubwa alafu kuna Upanga, Posta, Masaki, Mikocheni, Kijitonyama, Mwenge, Sinza , Bahari Beach, Mbeni Beach na Ununio.Squatters zilizoko Tandale, Keko, msasani, Vingunguti, Kiwalani, Mbagala ziko mkoa wa Mbeya au Dsm.
Hata Dodoma ni kubwa piaDar kubwa alafu kuna Upanga, Posta, Masaki, Mikocheni, Kijitonyama, Mwenge, Sinza , Bahari Beach, Mbeni Beach na Ununio.
Kote huko ni Dar
Kubwa kivipi?Hata Dodoma ni kubwa pia
Yule mwamba aliamua kuijenga mkarudisha mpira kwa kipa. DsmKubwa kivipi?
Vile vijiji vya Chamwino au kule mnadani ambapo papo kama jalalani hata vyoo vya maana havipo?
Ukipeleka ugeni huu Dodoma unaweza ambiwa unataka kuwapa kipindupindu kama wakifika pale mnadani.
Dodoma acha Serikali waijenge tu.Yule mwamba aliamua kuijenga mkarudisha mpira kwa kipa. Dsm
Watu wamezoea makelele na hawaoni kama tandale , tandika , mbagala, keko, mburahati, BUGURUNI sio uswaziSquatters zilizoko Tandale, Keko, msasani, Vingunguti, Kiwalani, Mbagala ziko mkoa wa Mbeya au Dsm.
Dodoma Bado haijakamilika kimiundombinu so ipe mda utafurahi zaidi kufikia 2030 Kila kitu kitakuwa tayari.Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!
Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.
Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?π€£π€£π€£π€£
Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?π€£π€£π€£π€£
Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?π€£π€£π€£π€£
Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?π€£π€£π€£π€£
Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.
Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
Vibudu viko DarWakale vibudu na papa zilizochoka.
Hasara gani? Mbona wanawekeza? Dar yenyewe ilianza kujengwa na Serikali na Bado inajengwa.Dodoma acha Serikali waijenge tu.
Sekta binafsi kuweka uwekezaji kule kwa sasa ni hasara.
Hapana let's say 2050. Si mchezo mji kufika haraka hapa ilipofika Dar.Dodoma Bado haijakamilika kimiundombinu so ipe mda utafurahi zaidi kufikia 2030 Kila kitu kitakuwa tayari.
Sio swala la kufika kama Dar,kwanza Dar ni hovyo.Hapana let's say 2050. Si mchezo mji kufika haraka hapa ilipofika Dar.
Hakuna cha kuifanya Dodoma ivutie kwa haraka kiasi hicho. Kwa kifupi Dodoma haina activity ya kumfanya mgeni a enjoy tofauti na Dar au Arusha.
Wamekuja kwenye mkutano au wamekuja kustarehe.?Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania!
Baada ya Jiji la Dar es Salaam ku host Mkutano Mkuu wa Nishati wale Team Dodoma wamefura sana eti Mkutano ungefanyika Dodoma.
Labda tuwaulize tu wale Team Dodoma. Mkutano ungefanyika Dodoma Wageni wangelala wapi? Dodoma Hotel? Domiya? Au pale Rafiki hotel?π€£π€£π€£π€£
Kwa hiyo Rais Traole au Rais Tinubu angelala Rafiki Hotel?π€£π€£π€£π€£
Kwa hiyo marais waoge maji yenu yenye magadi hayo?π€£π€£π€£π€£
Okey tuachane na Hotel za kulala. Tuseme wageni wanataka kustarehe kwa hiyo ndo waende pale Talatala? Au Rainbow au Royal Hotel?π€£π€£π€£π€£
Kwa Dar tuseme mgeni kachoka tu kukaa kwenye kikao anataka kutembea kidogo. Akitembea mita 100 tu anakutana na bahari , akitaka pub za ukweli kwenda kustarehe akiingia masaki au pale Posta tu ziko za kumwaga, Totoz za ukweli! Hapo hatujaweka ma hoteli ya nyota 4 na 5 ambayo yapo ya kumwaga.
Watanzania tupate Exposure kwa kweli tuone Dunia ikoje. Dodoma ndiyo inakua vizuri ila itachukua miaka si chini ya 20 hadi 30 kwa Dodoma kufikia kuwa Standard Jiji kuweza ku host mikutano mikubwa ya kimataifa na ku host viongozi wa kimataifa.
Vinasafirishwa kufuata fursaVibudu viko Dar
Mwanza je?
Una uzoefu wowote wa mikutano ya kimataifa? Au upo kijijini huko unajifanya mjuaji?Wamekuja kwenye mkutano au wamekuja kustarehe.?
πππHostel za UDOM zipo mkuu
Anyway, Kwa hii Dodoma, Njombe maji ya magadi yakifika zinakuwa sawa