Mkutano wa Nishati ungefanyika Dodoma! Wageni wangelala na kustarehe wapi?

Dodoma ina maajabu gani?

Alafu unazungumzia Dar ipi haina maajabu?

Dar ya kutoka Posta kuelekea Mbagala au Kimara AU Dar ya kutoka Mjini kupita Tanzanite Bridge au Salander Bridge hadi Tegeta na Mbweni?
🀣 🀣 🀣
 
Dodoma Kwa Watani Zangu Wagogo, Warangi,
Mmetajwa Kwakuwa Mnatakiwa 30 Huko Ndiyo Mtaifikia Dar Es Salaam
*Mzizima Jiji Salama,
 
Comments Zinawapa Tabu Ndugu Zangu Wa Chef Asili, Mwambao, Sinza Mpya, Kwa Bubu Kuku
 
Hapa Kuna ukweli
 
Acha zarau aisse ,mbona wangeweza kwenda swaswa Kuna sehem inaitwa bench corner ,Kuna beach moja matata sana pale,sehem za kujrusha zipo wakitembelea pale chako ni chako Kuna watoto kibao ,lushoto Kuna kuku wa kuchoma ,kulia kidog unakutana na Pork point unagonga kitimoto moja saaafi huku ukihudumiwa na watot halis wa kiafrika ma miss Bantu
 
... MACHAKA NDO MANDHARI YENYEWE! UNATAKA JANGWA LIBAKI JANGWA?
πŸ˜…
 
Wangeenda Mnadani kula nyama choma!😑😑😑😑
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…