Mkutano wa Trump na Zelensky waisha na sintofahamu

Alikua hagombezwi bana walikua wanabishana 😁
 
Trump kaamua waziwazi kusimama upande wa Putin, huyu Mzee atawavuruga kweli kweli Ulaya magharibi na NATO yao.
 
Hiyo ndo maana halisi ya ubishi dharau na matusi lazima vihusike kwahiyo ukiwa mpole utaonekana umedharauliwa😁
Yule kagombezwa mkuu 🤣🤣🤣
Trump kaamua waziwazi kusimama upande wa Putin, huyu Mzee atawavuruga kweli kweli Ulaya magharibi na NATO yao.
Yaani vichwa vina wauma lakini kwanini kaamua kufanya hivyo ni puppet wa russia ama niaje?? Inakuwaje nchi hasimu leo ziwe kitu kimoja smh
 
Wakati mazungumzo ya amani yakiwa yanaendelea ni vyema kwa Ukraine kutopoteza kuungwa mkono na Wamarekani, ili kufanikisha hilo, rais Zelensky atapaswa kutanguliza diplomasia huku akipigania maslahi ya Ukraine kwenye mchakato huu wa makubaliano.
Huu mchakato umeshaanza bila Ukraine kuhusishwa, kiufupi ameshafanywa daraja la 2.
 
Anachofanya Zelesky ndio kitu mwanaume rijali unatakiwa ufanye sio kwakuwa una nguvu unidharau jamaa ana busara sana Kwa maneno wanayotoa team ya Trump kama huna busara na hekima unaweza kuishia kujibizana nao mitandaoni ila Zelesky akaamua kukaa kimya.

Trump na team yake wamekaa kama mashangingi kutwa kubwatuka tu
 
Hakika Umaskini ni laana. Zelensky anagombezwa kama mtoto mchanga. Viongozi wa Afrika wakifika kwa mwamba lazima wachapwe bakora.


ISOMEKE: Viongozi wa Afrika mna la kujifunza kwa Zelensky
Ila Trump atakuwa mzaramo maana sio kwa kumnanga huko mwenzie.

Na mbaya zaidi huwa hampi nafasi mtu anaemnanga kusema yaan anataka aseme yeye tu.

Ametamka neno stupid president duuuh yule mzee ulaya wajipange vinginevyo tariffs zitawahusu.
 
2014 nani alikuwa rais wa Ukraine?
 
Duuh...
We jamaa ni muongo balaa
 
Waziri mkuu mstaafu wa German aliwahi kukili kua mikataba waliyoingia na Urusi ilikua kuipumbaza Urusi huku Ukrein ikiendelea kujipanga kwa vita na Urusi.
 
Trump kaamua waziwazi kusimama upande wa Putin, huyu Mzee atawavuruga kweli kweli Ulaya magharibi na NATO yao.
Trump anauona ukweli kuliko wengi na upande aliosimama Trump ndio upande sahihi.
 
DU
dU
 
Zelensky alitamani ardhi ipasuke azame chini kwa kusimangwa kama mtoto aliyejinyea mbele ya media kwa upumbavu wake wa kuingia vitani na Urusi taifa lenye nguvu kubwa Duniani kwa kutegemea silaha za misaada[emoji1787][emoji1787]
Mkuu, akilizako hazina tofauti na za Tramp, iviulitaka Zelensk afanyeje wakati urusi wanavamia nchi yake, tuanzie hapo.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Trump anauona ukweli kuliko wengi na upande aliosimama Trump ndio upande sahihi.
Tramp anaona maslahi zaidi ya ukweli, unadhani angepewa madini angezuiavita kwa njia gani.

Ameulizwa swali kwamba kama ikitokea Putin akikataa kuondoa majeshiyake Ukraine atafanya nini, hatoijibu linalo eleweka anarukarukatu.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Atoe jibu gani, wakati kashasema Zele asahau maeneo yaliyochukuliwa na Putin.

Zele anachotaka ni USA na EU kupeleka majeshi kabla ya cease fire. Trump anachotaka ni security guarantee after cease fire.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…