Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Ndio maana wameamua kuuza kila kitu, wanajua wanaondokaKama kutakuwa na uchaguzi ulio huru na haki T.A.L anachukua nchi 2025.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana wameamua kuuza kila kitu, wanajua wanaondokaKama kutakuwa na uchaguzi ulio huru na haki T.A.L anachukua nchi 2025.
HakikaAkazie sana somo hili; kwa sababu uchaguzi utakaofuata 2025 unategemea sana matokeo ya huu wa serikali za mitaa.
Mimi matumaini yangu ni kwamba CHADEMA wapo mbioni kuianza hii kazi ngumu haraka iwezekanavyo. Hii siyo kazi ya mtu mmoja au wachache. Ni kazi ya wanachama wote nchi nzima.
Hajagusia suala lake la kushambuliwa na wasiojulikana?maana ndio kitu anaongea daily
Ulitaka asiongelee hilo kwani limeisha au.....kumaninaaa ww mijitu ya ccm bhanaHajagusia suala lake la kushambuliwa na wasiojulikana?maana ndio kitu anaongea daily
Hapa umefikiria nini hadi ukasema hivyo? Kwamba hakushambuliwa au anasema uongo. Vp hakuna mengine anayoyasema yanayohusu maendeleo ya wananchi?Hajagusia suala lake la kushambuliwa na wasiojulikana?maana ndio kitu anaongea daily
Unaelimisha maweHapa umefikiria nini hadi ukasema hivyo? Kwamba hakushambuliwa au anasema uongo. Vp hakuna mengine anayoyasema yanayohusu maendeleo ya wananchi?
ulipotea ,mwanao ashafika siku ya 40Ni wa kumhurumia kapoteza mwelekeo