Mkutano wa Tundu Lissu wafana Singida Magharibi

Hakika
 
Hajagusia suala lake la kushambuliwa na wasiojulikana?maana ndio kitu anaongea daily
Hapa umefikiria nini hadi ukasema hivyo? Kwamba hakushambuliwa au anasema uongo. Vp hakuna mengine anayoyasema yanayohusu maendeleo ya wananchi?
 
Hapa umefikiria nini hadi ukasema hivyo? Kwamba hakushambuliwa au anasema uongo. Vp hakuna mengine anayoyasema yanayohusu maendeleo ya wananchi?
Unaelimisha mawe
 
Awamu hii kuna viongozi wengi wapenda ulawiti na uzinzi...why?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…