wakati chadema haijatoa msimamo kuhusu dowans, mwenyekiti wa cuf, prof. Ibrahim lipumba anasema; kama chama wanaunga msimamo wa zitto, kwamba mitambo ya dowans inunuliwe. Wanatoa mifano ya vitu mitumba kama ndege za atc ni mitumba, mabehewa ya trc ni mitumba. Wanasema kwamba sababu sheria ni mbovu. Anasema malumbano yanayoendelea hayana tija yanaenda kwa watu binafsi, na kwamba zitto yuko sahihi kabisa. Zitto hakuwapo.
2010.....2010.....2010......2010.....2010......2010.....2010......2010.....
2010.....2010.....2010......2010.....2010......2010.....2010......2010......
Pesa tutapata wapi????? 1995 Mwalimu Nyerere na Mwinyi walipata wapi? 2000 Mkapa alipata wapi? 2005 zilitoka wapi? Sasa 2010 zitatoka wapi?
MADARAKA, PESA!!!!!! HATARI TUPU
halisi haya ya kutolea mifano ya ATLC na TRC wanataka kuhalalisha uozo tu;
Hakuna cha mitambo mibovu au kuukuu.. kama ni kutaka kunununua kuukuu mbona tunaweza kununua hata nje tena kwa bei ya chini zaidi? Hapa suala ni kutaka Dowans walipwe kwa sababu ya ahadi yao waliyowapa miaka miwili iliyopiota iliyowafanya wakurupuke walete majenereta hayo na kudandia mkataba wa Richmond. That is it!
Najua mwanakijiji utakuwa umefura sana.Nina hakika akili yako imeja DOWANS isununuliwe na Dowans itanunuliwa kwa kuwa wakubwa wanataka(Hisia Zako)!
Lipumba kaona haja ya kununuliwa mitambo hiyo na mie nazidi kuunga mkono mitambo hiyo inunuliwe.
Niliongea na zitto toka kipindi kile alivyokuwa akiunga mkono suaa hili,alinipa hoja zake za msingi na mie nikapiga ndodo zaidi ili kujua nini tatizo na nikakubaliana naye kuwa kuna haja ya kununua mitambo ya Dowans.
Mie naona Mitambo inunuliwe tu ili mjomba na watanzania wengine waisingie Gizani!Mwanakijiji hauna sababu ya singi ya kukata kunuliwa mitambo hiyo ,umeng'ang'ana kuwa mitambo hiyo imeletwa na tapeli ,inaonesha tatizo siyo mitambo ila tatizo ni mitambo imeletwa na Tapeli..tatizo imeletwa na Rostam(Hakuna ushahidi).yaani kila jmbo wewe lazima uone ni baya?
Tukiendelea kuishi kwa kuhisi kila jambo kuna ufisadi basi nchi haitafika mbali!
Merekebisho.... Zitto hakuwapo... Walikuwapo watu wa Tanesco na Lipumba...
Lipumba alianza na kuzungumzia hali ya uchumi then suala la Dowans likaja baadaye.
Najua mwanakijiji utakuwa umefura sana.Nina hakika akili yako imeja DOWANS isununuliwe na Dowans itanunuliwa kwa kuwa wakubwa wanataka(Hisia Zako)!
Lipumba kaona haja ya kununuliwa mitambo hiyo na mie nazidi kuunga mkono mitambo hiyo inunuliwe.
Niliongea na zitto toka kipindi kile alivyokuwa akiunga mkono suaa hili,alinipa hoja zake za msingi na mie nikapiga ndodo zaidi ili kujua nini tatizo na nikakubaliana naye kuwa kuna haja ya kununua mitambo ya Dowans.
Mie naona Mitambo inunuliwe tu ili mjomba na watanzania wengine waisingie Gizani!Mwanakijiji hauna sababu ya singi ya kukata kunuliwa mitambo hiyo ,umeng'ang'ana kuwa mitambo hiyo imeletwa na tapeli ,inaonesha tatizo siyo mitambo ila tatizo ni mitambo imeletwa na Tapeli..tatizo imeletwa na Rostam(Hakuna ushahidi).yaani kila jmbo wewe lazima uone ni baya?
Tukiendelea kuishi kwa kuhisi kila jambo kuna ufisadi basi nchi haitafika mbali!
halisi haya ya kutolea mifano ya ATLC na TRC wanataka kuhalalisha uozo tu;
Hakuna cha mitambo mibovu au kuukuu.. kama ni kutaka kunununua kuukuu mbona tunaweza kununua hata nje tena kwa bei ya chini zaidi? Hapa suala ni kutaka Dowans walipwe kwa sababu ya ahadi yao waliyowapa miaka miwili iliyopiota iliyowafanya wakurupuke walete majenereta hayo na kudandia mkataba wa Richmond. That is it!
sasa Mwanakijiji,
Wat is your Problem?wewe ni nani hasa wa kukata tu jambo lisifanyike,unazungumza kwa niaba ya nani?kama tukifika sehemu kuwa kama Mwanakijiji( au wanasiasa flani) akisema hiki kisifanyike na kweli kikaachwa basi nchi itakuwa ikiendeshwa kienyeji sana.
Unajua wana hisa wa Dowans Tanzania Limited? Tatizo langu si mitambo kwani wakiitaka waichukue kwa nguvu, tatizo langu ni kuinunua kutoka kwa tapeli. Wewe huoni tatizo hilo. Kwako, mtu ambaye amekuibia na bado anakuibia uko tayari kuendelea kununua kutoka kwake alimradi utatue tatizo ambalo unaweza kulitatua bila kununua kutoka kwake. Hii ndiyo tofauti.
Mmiliki mwenyewe wa Dowans kasema aliyepeleka ujumbe wa yeye kuleta majenereta ni Rostam na Rostam alifanya hivyo kwa maelekezo ya Kikwete. Watanzania (kupitia viongozi wao) ndiyo wanadaiwa kutaka alete mitambo hiyo. Walipoileta walimuahidi kuwa mwishoni mwa mkataba watainunua. Sasa mkataba haupo, na majenereta hayajanunuliwa.
Jamaa anawadai, personally na kama serikali kwa kumuingiza mkenge. Urafiki wao na yeye uko mashakani. Na sasa watawala hawana lolote isipokuwa kusema tu tununue.
Mimi nasema tuichukue mitambo hiyo kwani tunaiihitaji, kwanini tuinunue?
Mitambo ya Dowans haipaswi kununuliwa; watueleze kwanza muuzaji nani? Anauza kwa bei gani? Tupate tathmini huru ya ubora wa mitambo kwanza. Lakini kwanini tupotezeane muda wote huo wakati tunaweza kununua mitambo mipya? Wizi mtupu huu!
Tuwasomee dua mahayawani wote wasio na haya
Asha
Oooh mchango mzuri sana. Ile shahada ya pili si haba. Mitambo lazima inunuliwe, hisani lazima ilipwe
Mambo kama Afrika Kusini
......ndiyohiyo
sasa Mwanakijiji,
Wat is your Problem?wewe ni nani hasa wa kukata tu jambo lisifanyike,unazungumza kwa niaba ya nani?kama tukifika sehemu kuwa kama Mwanakijiji( au wanasiasa flani) akisema hiki kisifanyike na kweli kikaachwa basi nchi itakuwa ikiendeshwa kienyeji sana.
Katika yale makaratasi ya BRELA wamiliki wa DOWANSa ni Brigedia mstaafu peke yake?au kuna wengine?
unachotakiwa ni kuwa jasiri na kutaja kuwa ni flani na flani wanahusika na dili.ulilshasema kuna Mkulu ,RA,Mwingine ni nani?na ulete vithibitisho
Huyo ni Lipumba amesha mwaga hoja. Bado PPRA na Zitto nao si watazungumza na wahariri leo leo na kumwaga hoja? Hongera Ngeleja na Dr Iddrissa, nchi haipaswi kuwa gizani kwa sababu ya ushabiki wa wakina Mwakyembe.........ndiyohiyo