LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Kama wao wenyewe wakitoa maoni yana chakachuliwa je sie wa nje. Mukandal kada mtiufu wa Ccm ati mwenyekiti. Halafu kuna Mtungi ambae hajijui kama ni mlezi wa vyama vyote. Kabaki kuilea Ccm.Walio na Maoni kuhusu masuala mbalimbali yaliyoainishwa baada ya Mkutano wa Wadau wa Demokrasia uliofunguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Desemba 2021 wametakiwa kuyawasilisha kwa Kikosi Kazi kilichoundwa
Masuala makuu 9 yaliyoainishwa na Kikosi hicho ili kuwasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi ni pamoja na Mfumo wa Maridhiano, Katiba Mpya, Mikutano ya hadhara na ndani ya Vyama vya Siasa, Masuala yanayohusu Uchaguzi, Rushwa na Maadili katika Siasa/Uchaguzi na Elimu ya Uraia
View attachment 2200466
View attachment 2200469