Mkutano wa Wadau wa Demokrasia: Kikosi Kazi chawaita wenye maoni kuyawasilisha

Kama wao wenyewe wakitoa maoni yana chakachuliwa je sie wa nje. Mukandal kada mtiufu wa Ccm ati mwenyekiti. Halafu kuna Mtungi ambae hajijui kama ni mlezi wa vyama vyote. Kabaki kuilea Ccm.
 
Msajili wa vyama vingi ndiyo katibu wa kikosi kazi / task force .

Kweli maoni yetu atayabeba kama yalivyo au ata edit au kuyatupa kapuni kuwa siyo kipaumbele cha wakubwa waliomteua kuwa ktk ofisi ya msajili wa vyama.
Hilo neno,
Wanaoleta hoja wanajua sisi ni wajinga.
Wanaokubali kutoa maoni huku wakijua maoni yalishatolewa kwa mujibu wa sheria wanaongeza ujinga
 
Hiki ni kikosi binafsi cha rais wa mpito. Hakuna namna yoyote ya kisheria wala kikatiba ya kuyafanyia kazi maoni ya hiki kikosi.

A gang of illegal group trying to hijack the will of the people. Hawa wahalifu wanaowezeshwa na Rais.

Ipo siku watalipa fedha hizi wanazovuja
 
Jibu la hayo masuala 9 ni moja tu, kuheshimu Katiba iliyopo.
 
YES YES YES. Maoni ya Warioba tunayo. Kuna wengine hawakumuona Warioba, nao je? Hapa imetajwa sayansi na teknolojia, Warioba hata Email address hajui na hakuwa nayo. Wakati maoni yanachakatwa na Bunge Maalum la Katiba, CHADEMA na CUF wakakimbia nje walipoona majority hawataki Serkali 3, kumbe walikuwa wamepanga CUF ichuje Zanzibar na CHADEMA wajitawale kwao kwa Ukabila eti Serkali ya Majimbo. Kazi iendelee. Baadaye Wazalendo wa CUF wakaona wanaburuzwa, wakamfutilia mbali Maalim Seif kwa hiyo Waarabu wakajikuta hawana Chama wakajaribu kununua CHADEMA wenye chama wakakataa Uislamu. Wakanunua ACT Wazalendo ya Mheshimiwa Zitto Kabwe kwa bei nono jamaa akapata nauli kwenda kwa Tundu Lissu kuchukua mkataba wa CUF akaenda hadi World Bank kutetea mimba za utotoni. Waache Wananchi watoe mawazo.
 
Huyu Sisty ni huyu huyu niliyekuwa namskia akiongea wakati wa Magufuli au ni mwingine. Kama ni yeye basi Maza ana utani na Watanzania....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…