Mkutano wa wadau wa Siasa: Sababu za Chadema Kukerwa

Mkutano wa wadau wa Siasa: Sababu za Chadema Kukerwa

Chama kikuu cha upinzani kwa sasa ni ACT na Zito kashikilia makali Chadema mtaisoma namba sana tu,

Afu pale kla mtu alienda kwa maslai ya chama chake sasa Chadema waligoma kwa maslai yao na ACT wauzulia kwa maslai ya chama chao
Unaandika uongo na wewe unajua ni uongo halafu huna hata aibu kuleta uongo wako jukwaa la watu wanaojitambua!
Kama usemayo ndivyo,kwanini mjadala mkuu ni CHADEMA na Mbowe na si hicho chama kikuu kama usemavyo?
Hata maudhui na agenda hazijulikani,kinachovuma ni Mbowe na CHADEMA!
Hata Cheyo,Lipumba na Zitto walipohojiwa baada ya mkutano,Bado hoja zilizokiki na walichotolea maelezo ni suala la Mbowe na CDM!
 
Chama kikuu cha upinzani kwa sasa ni ACT na Zito kashikilia makali Chadema mtaisoma namba sana tu,

Afu pale kla mtu alienda kwa maslai ya chama chake sasa Chadema waligoma kwa maslai yao na ACT wauzulia kwa maslai ya chama chao
Ungetafuta mahali kama kuna shule kwaajili ya watu wazima ili angalao uboreshe uwezo wako wa kuandika, kusoma na kuhesabu.
 
Back
Top Bottom