Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Raisi Paul Kagame wa Rwanda ndie Chairman wa Commonwealth - Mataifa 54+2.Rwanda ambayo haikutawaliwa na British Kingdom leo wanaanda Mkutano wa Commonwealth na kubeba wageni wote hao! Naanza kuamini wapo mbele yetu
AICC imechakaa sana.Miaka ile mikutano hii ilifanyika Arusha
Haijawahi kifamya kitu kama hichi, mpaka Camilla Parker kahudhuria, na Commonwealth kutoka maamuzi magumu ya kuzipa uhuru wa kujitawala Nchi zilizibaki, Rwanda wanakuja juuAICC imechakaa sana.
Nimesikia hii dinner menu ilikua ni starter matango na pilipili hoho zilizo okwa.Haijawahi kifamya kitu kama hichi, mpaka Camilla Parker kahudhuria, na Commonwealth kutoka maamuzi magumu ya kuzipa uhuru wa kujitawala Nchi zilizibaki, Rwanda wanakuja juu
😄😄 mi Naonaga hio familia ya kifalme Ina sura flani ya kitofauti hivi, yatakua ma-vampire haya.Katuwakilisha nani kwenye huu mkutano
Alaf huyu charles sijui kwann namuonaga kama ndie mume wa malkia 🤣🤣🤣🤣 hii familia wamekula sana chumvi nao
Wangeagiza hata dompo,St Anne,Image na sisi tupige hela kidogo mkuu 😄😄Nimesikia hii dinner menu ilikua ni starter matango na pilipili hoho zilizo okwa.
Main course kuku wa kuoka mboga mboga pamoja na uyoga.
Dessert cheese cake iliyotengenezwa na passion fruits.
Wine ziliagizwa kutoka South Africa, New Zealand, France na Australia. Kahawa walipewa inayolimwa Rwanda.
Sasa hivi hata Nairobi kwny MICE(Meetings, Incentives, Conferences, Exhibitions) tourism wameshapigwa bao na Kigali na wakenya wenyewe wana-discuss sana suala Hilo huku mitandaoni.Miaka ile mikutano hii ilifanyika Arusha
Hamna vampire hapo 😀😀😀 wangekuwa hawafi labda😄😄 mi Naonaga hio familia ya kifalme Ina sura flani ya kitofauti hivi, yatakua ma-vampire haya.
Hahah inawezekana mkuu,yaani hua Wana sura flani za kutokuongea Sana lkn zenye mamlaka.Ukiwacheki hao afu ukamuangalia na mtu kama Trump vile alivyo nasemaga tu HiiiiiiiiiiiiiiiiiHamna vampire hapo 😀😀😀 wangekuwa hawafi labda
Tunawaona tofauti sabb labda si mara kwa mara wanaonekana hadharan
Kama ni mamlaka wanayo na ukiwa na mamlaka lazm uogopeweHahah inawezekana mkuu,yaani hua Wana sura flani za kutokuongea Sana lkn zenye mamlaka.Ukiwacheki hao afu ukamuangalia na mtu kama Trump vile alivyo nasemaga tu Hiiiiiiiiiiiiiiiii
labda km zilikuja kwa ndege lkn km njia ya maji dsm inahusikaUsishangae kuwa hizo zilitoka New Zealand, Australia na France zilipitia bandari ya DSM
Yule Bibi kaenda sana Age, watu kuanzia miaka 70 kuendelea ngumu kutofautisha miaka bila kuambiwa, wote huwa vikongweKatuwakilisha nani kwenye huu mkutano
Alaf huyu charles sijui kwann namuonaga kama ndie mume wa malkia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii familia wamekula sana chumvi nao
[emoji38]Borris anachuma kikali ndiyo maana kipindi cha Lockdown alifanya pati.