Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mangungu anaiwakilisha serikali, haiwezekani timu ya ukombozi ya wapigania uhuru iporwe na wahindi
Hapo wqtu wa system watapata wapi kitu cha kudivert hasirq za watanzania nje ya simba na yanga?
Mo anatishia usalama wa Twaifaa lazima aichie simba atake
Kifupi mo anahatarisha 10% za watu hivyo lazima wampe za usoMangungu anaiwakilisha serikali, haiwezekani timu ya ukombozi ya wapigania uhuru iporwe na wahindi
Hapo wqtu wa system watapata wapi kitu cha kudivert hasirq za watanzania nje ya simba na yanga?
Mo anatishia usalama wa Twaifaa lazima aichie simba atake asitake
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.Scars haya sasa kazi kwako
Kassim Majaliwa.Itoshe kusema Mangungu anamizizi iliyo jikita kisawa sawa hivyo wanasimba mjiandae kwa maumivu makali msimu ujao mchangue moja wakati wa match akiingia uwanjani azomewe au apigwe mawe au msuse kuingia uwanjani ni hayo tu.
View attachment 3016704 Muwe na usiku mwema
Kwahiyo barua ya Simba waliyoandila hakina Ahmed Ally ni ya mwaka 24 wakati sisi tuko kwenye mwaka 2024.Itoshe kusema Mangungu anamizizi iliyo jikita kisawa sawa hivyo wanasimba mjiandae kwa maumivu makali msimu ujao mchangue moja wakati wa match akiingia uwanjani azomewe au apigwe mawe au msuse kuingia uwanjani ni hayo tu.
View attachment 3016704 Muwe na usiku mwema
Nikiwa shabiki wa Simba kindakindaki namuunga mkono Mangungu mpaka Mwamed atuonyeshe B20 kaweka kwenye akaunti gani.Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.
Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana
Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.
Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.iM
Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.
Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.
Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.i
Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.
Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Angalia jisura lake unaona hili zee ni shirikinaKile kizee kichawi siku zake zinahesabika kwa vidole litamkuta jambo
Hahahahaha...huwa mnasema tu hivi jeuri hy hakunaSasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.
Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana
Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.
Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.
Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.
Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.
Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.
Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.
Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Sawa sawa , wasilete umbumbumbu waoMangungu ndo mwenyekiti halali mliemchagua wenyewe mpaka hapo uchaguzi utakapofika.Kwa hiyo yeye ndo mwakilishi wa simba na si mwingine.Hivo mkubali maumivu.Aidha mshirikiane nae au ndo basi tena
Au ktk Channel yao WhatsAppMkutano umeahirishwa na Polisi lawama zinaenda kwa Mangungu dah!
Enyi wanasimba si muongelee mambo yenu kwenye Simba app,Simba group la what's up au kwenye page ya Simba kwani lazima mkutane!?
Naona jeshi la polisi nchini limefanya vema kuwazuia