Mkutano wa Wanachama wa Simba wapigwa STOP na Polisi

Mkutano wa Wanachama wa Simba wapigwa STOP na Polisi

Sex body

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2023
Posts
407
Reaction score
900
Itoshe kusema Mangungu anamizizi iliyo jikita kisawa sawa hivyo wanasimba mjiandae kwa maumivu makali msimu ujao mchangue moja wakati wa match akiingia uwanjani azomewe au apigwe mawe au msuse kuingia uwanjani ni hayo tu.
Screenshot_20240613-220302~2.png
Muwe na usiku mwema
 
Mangungu anaiwakilisha serikali, haiwezekani timu ya ukombozi ya wapigania uhuru iporwe na wahindi

Hapo wqtu wa system watapata wapi kitu cha kudivert hasirq za watanzania nje ya simba na yanga?

Mo anatishia usalama wa Twaifaa lazima aichie simba atake asitake
 
Mangungu anaiwakilisha serikali, haiwezekani timu ya ukombozi ya wapigania uhuru iporwe na wahindi

Hapo wqtu wa system watapata wapi kitu cha kudivert hasirq za watanzania nje ya simba na yanga?

Mo anatishia usalama wa Twaifaa lazima aichie simba atake asitake
Kifupi mo anahatarisha 10% za watu hivyo lazima wampe za uso
GPNct1xXsAAaiEM.jpeg
 
Scars haya sasa kazi kwako
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.

Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
 
Itoshe kusema Mangungu anamizizi iliyo jikita kisawa sawa hivyo wanasimba mjiandae kwa maumivu makali msimu ujao mchangue moja wakati wa match akiingia uwanjani azomewe au apigwe mawe au msuse kuingia uwanjani ni hayo tu.
View attachment 3016704 Muwe na usiku mwema
Kwahiyo barua ya Simba waliyoandila hakina Ahmed Ally ni ya mwaka 24 wakati sisi tuko kwenye mwaka 2024.
 
Hapo ndo ninapoionaga hii nchi ni ya kipumbavu sana.

Yaani wanachama wanataka wafanye kikao cha kujua mustakabali wa Klabu yao, na pengine kufuata hatua za kuwaondoa viongozi wasiofaa Klabuni, ghafla unaona Geshi la Polish linaingilia mchakato. Nyambaf sana hili li nchi la wasio na akili.
 
M
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.iM
Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.i

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Nikiwa shabiki wa Simba kindakindaki namuunga mkono Mangungu mpaka Mwamed atuonyeshe B20 kaweka kwenye akaunti gani.
 
Mkutano umeahirishwa na Polisi lawama zinaenda kwa Mangungu dah!
Enyi wanasimba si muongelee mambo yenu kwenye Simba app,Simba group la what's up au kwenye page ya Simba kwani lazima mkutane!?
Naona jeshi la polisi nchini limefanya vema kuwazuia
 
Hapo ndio utaona ujinga wa wanachama wa Simba, polisi hawana mamlaka ya kuzuia mkutano wa Simba isitoshe ni jukumu lao kulinda amani.
Kwa kifupi serikali imeingilia mpira kinyume na taratibu za fifa, wao wanatakiwa watafute Kilabinu taarifa zifike fifa ili mbivu na mbichi zijulikane.
 
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.

Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Hahahahaha...huwa mnasema tu hivi jeuri hy hakuna
 
Mangungu ndo mwenyekiti halali mliemchagua wenyewe mpaka hapo uchaguzi utakapofika.Kwa hiyo yeye ndo mwakilishi wa simba na si mwingine.Hivo mkubali maumivu.Aidha mshirikiane nae au ndo basi tena
Sawa sawa , wasilete umbumbumbu wao
 
Mkutano umeahirishwa na Polisi lawama zinaenda kwa Mangungu dah!
Enyi wanasimba si muongelee mambo yenu kwenye Simba app,Simba group la what's up au kwenye page ya Simba kwani lazima mkutane!?
Naona jeshi la polisi nchini limefanya vema kuwazuia
Au ktk Channel yao WhatsApp
 
Back
Top Bottom