Mkutano wa Wanachama wa Simba wapigwa STOP na Polisi

Mkutano wa Wanachama wa Simba wapigwa STOP na Polisi

Unategemea nn wakati kizimkazi ni YANGA.waziri w pesa ni YANGA. Simba hawana chao taifa hili.

KAZI ni kipimo cha UTU
 
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.

Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Ukisikia ule msemo wa hasira za mkizi, furaha kwa mvuvi; ndiyo huu sasa. Wewe susa tu, wenzako wataendelea kuishabikia timu.
 
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.

Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Mtu wetu wa wapi sasa kweli nyie makolo
 
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.

Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Mangungu mumchague simba lawama apewe Yanga mbona hiki kituko
 
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.

Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Kwani kosa la mangungu ni lipi hapo mzee mbona povu? Kwani mangungu ndio anaesajili wachezaji?? Je mangungu ndio anaetoa pesa za usajili?? Je mangungu anasauti katika maamuzi ya bodi?? Mangungu mnamuonea tu bodi ya wakurugenzi upande wa muwekezaji ndio walikuwa wapigaji. Mkutano huo haujafuata katiba ndio maana umepigwa chini na kama hujui hili vuguvugu linachochewa sana na yanga maana wanajua nguvu ya MO akirudi kwenye kiti
 
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.

Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Mangungu yuko sawa na anasimamia katiba.
 
Kwani kosa la mangungu ni lipi hapo mzee mbona povu? Kwani mangungu ndio anaesajili wachezaji?? Je mangungu ndio anaetoa pesa za usajili?? Je mangungu anasauti katika maamuzi ya bodi?? Mangungu mnamuonea tu bodi ya wakurugenzi upande wa muwekezaji ndio walikuwa wapigaji. Mkutano huo haujafuata katiba ndio maana umepigwa chini na kama hujui hili vuguvugu linachochewa sana na yanga maana wanajua nguvu ya MO akirudi kwenye kiti
kwan yanga ndo walimtoa mo? si alijitoa mwenyewe kwenye kt akasema atabak kuwa mwenykt wa heshima? pambanen na hali zenu achen kuwaingiza yanga kwenye madudu yenu, kama timu imewashinda muuzien gsm kwa bei ya punguzo, au we unaonaje ephen_?
 
Sasa hapo nadhani mtaelewa kauli ya Cadena aliyosema kuwa hayuko tayari kusaini mkataba mpya kwasababu ya uongozi mbovu uliopo.

Na akasisitiza kuwa labda itokee hao viongozi wabadilishwe waje viongozi wanaojua mpira kitu ambacho sioni kikija kuwezekana

Sasa nadhani kile kitu ndio hiki.

Mangungu hayupo peke yake kwenye jili sakata yeye ni kama kivuli tu.

Kuna mtu mwingine nyuma yake ambaye anamtumia kama shield kufanikisha mpango wa kumtoa MO.

Huyo mtu ndio anatumia kiburi cha pesa kuwanunua polisi.

Mangungu akiendelea kubaki Simba ni simply tu naacha kushabikia Simba, siendi uwanjani, sinunui jezi nahamia Costal na Azam.

Ni upuuzi kuendelea kuona Shaolin anaendelea kuwa mwenyekiti pamoja na madudu yote hayo aliyofanya.

Najua hii habari mashabiki wa Utopolo wameifurahia sana kwasababu wanajua bado mtu wao anayo nafasi zaidi ya kuendelea kukamilisha mipango yao.
Tulia dawa iwaingie vizuri, tuliwaambia hapa kuwa Ngungus Boy downtown hatishwi na maneno yenu ya kwenye kigodoro.
 
Hapo ndo ninapoionaga hii nchi ni ya kipumbavu sana.

Yaani wanachama wanataka wafanye kikao cha kujua mustakabali wa Klabu yao, na pengine kufuata hatua za kuwaondoa viongozi wasiofaa Klabuni, ghafla unaona Geshi la Polish linaingilia mchakato. Nyambaf sana hili li nchi la wasio na akili.
Wewe na GENTAMYCINE niliwaambia Murtaza ni mtoto wa Libya street mkashupaza shingo zenu, sasa mmejionea wenyewe?
 
Mangungu anaiwakilisha serikali, haiwezekani timu ya ukombozi ya wapigania uhuru iporwe na wahindi

Hapo wqtu wa system watapata wapi kitu cha kudivert hasirq za watanzania nje ya simba na yanga?

Mo anatishia usalama wa Twaifaa lazima aichie simba atake asitake
Haya mawazo ni ya kihuni sana
 
Tulia dawa iwaingie vizuri, tuliwaambia hapa kuwa Ngungus Boy downtown hatishwi na maneno yenu ya kwenye kigodoro.
Niliwaeleza wakati wanampa count down hakuna wakuja yeyote wa kumbabaisha Murtaza walidhani natania.

Wenye uwezo wa kumtowa Murtaza ni serikali peke yake kama kweli ana kosa na serikali haimtaki, lakini siyo hawa mbumbumbu wakuja.
 
Bado Wana nafasi ya kujirekebisha mimi nionavyoona kinacho hitajika ni pesa kwanza, lakini hizo pesa zikipatika uongozi huu utakuwa nazo makini? ,Kwakuwa bado wanavutana, nadhani Simba wajipange upya hata kwakuchelewa kidogo, kuhusu muwekezaji naona kaiweka Simba kwenye kiganja Kwa maana usajili wa dirisha kubwa uko mlangoni na unahitaji pesa za kutosha je wanachama wanaweza changa hizo pesa Kwa muda mfupi?
Mangungu anajuwa pakupata pesa za usajili, hili nakuhakikishia kwa asilimia mia moja.
 
Back
Top Bottom