Mkutano wa Wanachama wa Simba wapigwa STOP na Polisi

Unategemea nn wakati kizimkazi ni YANGA.waziri w pesa ni YANGA. Simba hawana chao taifa hili.

KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ukisikia ule msemo wa hasira za mkizi, furaha kwa mvuvi; ndiyo huu sasa. Wewe susa tu, wenzako wataendelea kuishabikia timu.
 
Mtu wetu wa wapi sasa kweli nyie makolo
 
Mangungu mumchague simba lawama apewe Yanga mbona hiki kituko
 
Kwani kosa la mangungu ni lipi hapo mzee mbona povu? Kwani mangungu ndio anaesajili wachezaji?? Je mangungu ndio anaetoa pesa za usajili?? Je mangungu anasauti katika maamuzi ya bodi?? Mangungu mnamuonea tu bodi ya wakurugenzi upande wa muwekezaji ndio walikuwa wapigaji. Mkutano huo haujafuata katiba ndio maana umepigwa chini na kama hujui hili vuguvugu linachochewa sana na yanga maana wanajua nguvu ya MO akirudi kwenye kiti
 
Mangungu yuko sawa na anasimamia katiba.
 
kwan yanga ndo walimtoa mo? si alijitoa mwenyewe kwenye kt akasema atabak kuwa mwenykt wa heshima? pambanen na hali zenu achen kuwaingiza yanga kwenye madudu yenu, kama timu imewashinda muuzien gsm kwa bei ya punguzo, au we unaonaje ephen_?
 
Tulia dawa iwaingie vizuri, tuliwaambia hapa kuwa Ngungus Boy downtown hatishwi na maneno yenu ya kwenye kigodoro.
 
Wewe na GENTAMYCINE niliwaambia Murtaza ni mtoto wa Libya street mkashupaza shingo zenu, sasa mmejionea wenyewe?
 
Haya mawazo ni ya kihuni sana
 
Tulia dawa iwaingie vizuri, tuliwaambia hapa kuwa Ngungus Boy downtown hatishwi na maneno yenu ya kwenye kigodoro.
Niliwaeleza wakati wanampa count down hakuna wakuja yeyote wa kumbabaisha Murtaza walidhani natania.

Wenye uwezo wa kumtowa Murtaza ni serikali peke yake kama kweli ana kosa na serikali haimtaki, lakini siyo hawa mbumbumbu wakuja.
 
Mangungu anajuwa pakupata pesa za usajili, hili nakuhakikishia kwa asilimia mia moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…