Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
- Thread starter
- #81
Ndo haiwezekani sasa dunia nzima wawe na mtazamo kama wakoHakuna aliyekataa kama si la walimwengu wote na kwamba si jambo la kawaida,tunachopinga ni watu kutokukubali kurudi kwenye asili ya watu wenye lugha yao kuwa kama mzani wa kujua usahihi wa matamshi,kinyume na hapo ni uharibifu kama tunavyouona hii leo.
Unajua sisi tuna mifano ya watu ambao wanayatamka vyema majina ya watu wengine kama vile wayatamkavyo wenyewe.