Kuna mwanangu anasoma pale mwaka wa pili, walitakiwa waende BTP tokea january ila hadi sasa hawajaenda, inasemekana huyo mkuu wa chuo amefuja fedha ambazo walitakiwa wazitumie kwa ajili ya hilo zoezi, yeye kapangiwa maeneo hayo hayo ya korogwe nauli alitakiwa apewe sh 17,000/ kwenda na kurudi akaambulia sh 2000/. Mwanafunzi aliyetakiwa apewe karibu laki tatu anapewa elfu themanini, wamegoma sijajua mufaka wake!