tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Serikali imemvua ukuu wa chuo Mkuu wa chuo cha ualimu Korogwe Bw. Mwiga pamoja na makamo wake. Hii ni kutokana na ubadhilifu wa mali ya umma. Mkuu huyo amekuwa akilalamikiwa na watumishi wa chuo hicho kwa muda mrefu. Pengine hilo linaweza kuwa fundisho kwa wakuu wengine wa taasisi za umma wenye tabia kama hiyo.